Nimesha maliza diploma sasa kwenye fomu ya kujiunga na degree kuna kigezo kimeandikwa niwe na Equivalent Qualifications Certificates ndo nataka nijuwe ni nini
Wanapotangaza udahili hutoa vigezo vya kimasomo. Wewe unaweza usiwe na vigezo hivyo lakini una vyeti ambavyo unaona ni sawa na vigezo vilivyotangazwa. Hapo utakuwa na equivalent qualifications. Kwa mfano ordinary diploma gpa 3 au zaidi ni equivalent qualification ya advance principles point 4 na zaidi. Ukiwa na qualifications za nje zinaweza kuwa equivalent na hizo za chuo fulani.
Transcript sio qualification inaeleza tu ufaulu wako ukoje uliokupelekea kupata certificate, diploma au degree.
Nimesha maliza diploma sasa kwenye fomu ya kujiunga na degree kuna kigezo kimeandikwa niwe na Equivalent Qualifications Certificates ndo nataka nijuwe ni nini
Nafikiri hapa unawasilisha cheti, transcript na hiyo AVN number kutoka nacte. Kwa tcu diploma ni equivalent qualification, hata tcu admission guide iko moja special kwa diploma holders na wameandika kuwa ni equivalent qualification.