hivi karibuni nimeona kwenye web ya heslb kwamba equivalent entry candidate ambao hawasomi ualimu na sayansi siyo eligible candidate kukopeshwa elimu ya juu nauliza wanajf nimeelewa sahihi ? binafsi sasa nasoma diploma ya sheria natarajia kusoma LLB mwakani je nitapata mkopo? na kama ctapata niende wapi? nipate msaada wa kusomeshwa hiyo llb maana ctaweza kujisomesha. tafadhali rejea mtandao wa heslb alafu nishauri