Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Niko huku kwa siku kadhaa kwa ajili ya AFCON (wakati mwingine Gabon)
Tukiacha yoote mengine, kuna kitu nimekinote cha tofauti, kama sisi, wao wana bara na visiwani (Rio Muni na Bioko) ingwa sijui kama nako kuna muungano kama huku kwetu.
Nilichoona ni kuwa wenzetu mji wao mkuu. Malabo uko kisiwani Bioko, ambako kijoografia ni padogo kuliko Rio Muni.
I wonder kwanini wakati serikali inahamisha makao makuu back in time isingehamishia Unguja badala ya Dodoma?
Gonga: Redirect Notice
Tukiacha yoote mengine, kuna kitu nimekinote cha tofauti, kama sisi, wao wana bara na visiwani (Rio Muni na Bioko) ingwa sijui kama nako kuna muungano kama huku kwetu.
Nilichoona ni kuwa wenzetu mji wao mkuu. Malabo uko kisiwani Bioko, ambako kijoografia ni padogo kuliko Rio Muni.
I wonder kwanini wakati serikali inahamisha makao makuu back in time isingehamishia Unguja badala ya Dodoma?
Gonga: Redirect Notice