Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Niwape pongezi za ukweli Manchester City kwa kutwaa ubingwa season hii 18/19. Hakika ushindani umekuwa mkubwa sana, Liverpool akomae na CL huenda akajipoza kule.
Back to mada siku ya mwisho wa ligi naona leo wameongezeka wafungaji kutoka club 2 na kumfikia MO Salah;
1. Mohamed Salah (LIV) 22 goals, 8 assists
2. Pierre-Emerick Aubameyang (ARS) 22 goals, 5 assists
3. Sadio Mane (LIV) 22 goals, 1 assist
Kimsingi wote wanastahili kupata golden boot maana ni magoli ndo kigezo pekee. Hongereni kwa kazi nzuri vijana wa EPL
Back to mada siku ya mwisho wa ligi naona leo wameongezeka wafungaji kutoka club 2 na kumfikia MO Salah;
1. Mohamed Salah (LIV) 22 goals, 8 assists
2. Pierre-Emerick Aubameyang (ARS) 22 goals, 5 assists
3. Sadio Mane (LIV) 22 goals, 1 assist
Kimsingi wote wanastahili kupata golden boot maana ni magoli ndo kigezo pekee. Hongereni kwa kazi nzuri vijana wa EPL