Ephraim Kibonde upunguze ubishi, Rais ana mamlaka ya kumfukuza mteule wake

moesy

JF-Expert Member
Oct 30, 2012
3,555
3,529
Huyu Kibonde anadai Rais ni kama ameingilia mhimili mwingine ( Bunge) kwa kumfukuza Charles Kitwanga. Anahoji... je, kuna barua au maandishi toka mamlaka ya bunge kwenda kwa Rais ikalamika kuhusu Waziri kulewa?

Anaendelea kusisitiza kunywa pombe sio tatizo kama unatimiza wajibu wako vizuri. Nijibu tu kwa ufupi Rais kumfukuza kazi mteule wake hawezi subiri mpaka mamlaka nyingine ilalamikie au imwandikie barua.

Pia Ndugu Kibonde kumbuka Waziri Mkuu alikuwemo bungeni (tenaViti vya mbele kabisa) Waziri Mkuu ana uwezo wa kumweleza Rais jambo lolote na Rais akachukua hatua.

Hoja ya kwamba suala la ulevi kutokuwepo kwenye sheria/taratibu za bunge halina mashiko.
 
Media nyingi za hapa nchini zinashida sana. Watu wanapenda sana kuwa watangazaji ili tu wawe wanasikika wakiongea, yaani shida hawajui ni Professional ile. Hatari sana!
 
Mkuu mtu akikukuta unajadili juu ya huyu jamaa atakushangaa sana maana hana anachokifahamu kuhusu kile anachokisema
 
Kwani rais alithibitishaje kuwa bwana Kitwanga alikuwa amelewa?
Na kwanini hakupewa nafasi ya kujitetea?
Unajua tuhuma za kumwambia kuwa mtu amelewa si za kuropoka tu! ndio maana madereva huwa wanapimwa kwa kifaa kabisa ili kuthibitisha kuwa ni kweli mhusika alikuwa amelewa tena kwa kiwango gani, jambo ambalo Kitwanga hakufanyiwa.
Hata kama alikuwa amelewa, je kati ya wale wabunge 200 yeye ndio wa kwanza kulewa bungeni!
Hear say kamwe haiwezi kuwa uthibitisho kwa sababu hata hizo tuhuma ni hear say tu, wamekurupuka sana.
 
Punguzeni kutoka mapovu. Clouds kwny Jahazi na Power breakfast kwny kila mjadala wanajitahidi ili mjadala unoge mtangazi mmoja anakuwa anasapoti Movie mwingine an2akosoa, Kibonde kawekwa upande wa kukosoa serikali kwny hii ya Kitwanga! Ubunifu huu wa Clouds ndio unawatofautisha na wengine
 
Nasikiliza kipindi hapa. Mleta mada either hujamuelewa or umeamua kwa makusudi kupotosha.

Kibonde hajahoji mamlaka ya rais kufukuza. Anachohoji ni kitendo cha rais kutegemea sababu za kuambiwa kuwa waziri alikuwa amelewa. Anauliza kigezo cha mtu kulewa au kipimo cha kujua kulewa ni kipi? Unajuaje kuwa mtu amelewa ilihali hakuna kipimo chochote kinachofanyika kabla ya wabunge kuingia bungeni.

My analysis: Kama raia wa kawaida, nadhani kila mtu ana haki ya kuhoji kinachofanywa na mtu aliyechaguliwa na wananchi ( in this case Magufuli). Haya mambo kutreat viongozi wa siasa kama infallible ndiyo yanafanya watu wafanye maamuzi ambayo baadaye yanatuletea matatizo.
 
Kwani rais alithibitishaje kuwa bwana Kitwanga alikuwa amelewa?
Na kwanini hakupewa nafasi ya kujitetea?
Unajua tuhuma za kumwambia kuwa mtu amelewa si za kuropoka tu! ndio maana madereva huwa wanapimwa kwa kifaa kabisa ili kuthibitisha kuwa ni kweli mhusika alikuwa amelewa tena kwa kiwango gani, jambo ambalo Kitwanga hakufanyiwa.
Hata kama alikuwa amelewa, je kati ya wale wabunge 200 yeye ndio wa kwanza kulewa bungeni!
Hear say kamwe haiwezi kuwa uthibitisho kwa sababu hata hizo tuhuma ni hear say tu, wamekurupuka sana.
Dog and stress.JPG
 
Kama ni kweli huyo jamaa kichwa maji kabisa,anaongea upuuzi
Tatizo lake bado anamuwazia kikwete na ofa zake kwa clouds, anasahau hii ni era nyingine chini ya wananchi, magufuli hajaja kuchekacheka na hawa wasaka tonge wasiojielewa kama kibonde.

Na zaidi kibonde usisahau kama Mh.JPM ni Amiri jeshi mkuu hivyo mpe hesima yake na maamuzi ya rais hayakuhusu wewe kama wewe yanawahusu watanzania, kwahiyo shutup, kitwanga alilewa na ameadhibiwa na aliyemteua.

Keep it up Rais Magufuli, we trust you are taking our country to visionary destination thank you.
 
Nasikiliza kipindi hapa. Mleta mada either hujamuelewa or umeamua kwa makusudi kupotosha.

Kibonde hajahoji mamlaka ya rais kufukuza. Anachohoji ni kitendo cha rais kutegemea sababu za kuambiwa kuwa waziri alikuwa amelewa. Anauliza kigezo cha mtu kulewa au kipimo cha kujua kulewa ni kipi? Unajuaje kuwa mtu amelewa ilihali hakuna kipimo chochote kinachofanyika kabla ya wabunge kuingia bungeni.

My analysis: Kama raia wa kawaida, nadhani kila mtu ana haki ya kuhoji kinachofanywa na mtu aliyechaguliwa na wananchi ( in this case Magufuli). Haya mambo kutreat viongozi wa siasa kama infallible ndiyo yanafanya watu wafanye maamuzi ambayo baadaye yanatuletea matatizo.
Sasa wewe na Kibonde mlitaka Kitwanga awe anapimwa ulevi "live" kwenye tv? Hata hilo lingefanyika bado mngesema mbona daktari aliyempima ni wa serikali kwa nini hawajachukua wa private. Hakuna kitu kitafanywa na mwingine wote wasichallenge.
 
We utakuwa ni lugumi tuuu.
Kwani rais alithibitishaje kuwa bwana Kitwanga alikuwa amelewa?
Na kwanini hakupewa nafasi ya kujitetea?
Unajua tuhuma za kumwambia kuwa mtu amelewa si za kuropoka tu! ndio maana madereva huwa wanapimwa kwa kifaa kabisa ili kuthibitisha kuwa ni kweli mhusika alikuwa amelewa tena kwa kiwango gani, jambo ambalo Kitwanga hakufanyiwa.
Hata kama alikuwa amelewa, je kati ya wale wabunge 200 yeye ndio wa kwanza kulewa bungeni!
Hear say kamwe haiwezi kuwa uthibitisho kwa sababu hata hizo tuhuma ni hear say tu, wamekurupuka sana.
 
mkuu kwa taarifa tu ni kuwa, huyu mtangazaji ndiye alikuwa MC siku ile kubwa la mafixadi linatangaza nia pale JIJI LA VICHAA.
 
Kwani rais alithibitishaje kuwa bwana Kitwanga alikuwa amelewa?
Na kwanini hakupewa nafasi ya kujitetea?
Unajua tuhuma za kumwambia kuwa mtu amelewa si za kuropoka tu! ndio maana madereva huwa wanapimwa kwa kifaa kabisa ili kuthibitisha kuwa ni kweli mhusika alikuwa amelewa tena kwa kiwango gani, jambo ambalo Kitwanga hakufanyiwa.
Hata kama alikuwa amelewa, je kati ya wale wabunge 200 yeye ndio wa kwanza kulewa bungeni!
Hear say kamwe haiwezi kuwa uthibitisho kwa sababu hata hizo tuhuma ni hear say tu, wamekurupuka sana.
Jua Kitwanga SI mbunge tu Bali ni waziri na mamlaka ya nidhamu Kwa waziri ipo Kwa raisi aliyenteua
 
Sasa wewe na Kibonde mlitaka Kitwanga awe anapimwa ulevi "live" kwenye tv? Hata hilo lingefanyika bado mngesema mbona daktari aliyempima ni wa serikali kwa nini hawajachukua wa private. Hakuna kitu kitafanywa na mwingine wote wasichallenge.

Ndio bindamu walivyo, hata mtume wa mungu nabii MUSA (as) pamoja na mihujiza yote bado wana wa Israel walimuambia kuwa hawatomuamini hadi MUSA awaletee mwenyezi mungu laiv wamuone kwa macho yao, basi mungu akawateremshia radi wakafa wote,then akawafufua,,NDIO hulka ya binadamu iyo kaka
 
Nasikiliza kipindi hapa. Mleta mada either hujamuelewa or umeamua kwa makusudi kupotosha.

Kibonde hajahoji mamlaka ya rais kufukuza. Anachohoji ni kitendo cha rais kutegemea sababu za kuambiwa kuwa waziri alikuwa amelewa. Anauliza kigezo cha mtu kulewa au kipimo cha kujua kulewa ni kipi? Unajuaje kuwa mtu amelewa ilihali hakuna kipimo chochote kinachofanyika kabla ya wabunge kuingia bungeni.

My analysis: Kama raia wa kawaida, nadhani kila mtu ana haki ya kuhoji kinachofanywa na mtu aliyechaguliwa na wananchi ( in this case Magufuli). Haya mambo kutreat viongozi wa siasa kama infallible ndiyo yanafanya watu wafanye maamuzi ambayo baadaye yanatuletea matatizo.
Mleta Mada yupo 100% Kwa mujibu wa maelezo yako wewe mwenyewe. Ebu jua kuwa yule yupo chini ya waziri mkuu akiwa bungeni na waziri mkuu ndo kiongozi wa shughuli za serikali. Na raisi anafanya kazi Kwa kushirikiana na waziri mkuu so waziri mkuu ndo alimwona akiwa amelewa na hiyo inatosha kabisa kuchukuwa hatua za kinidhamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom