Enzi za NGO NGO NGO NGOOO....

Enzi za NGO NGO NGO NGOOO....

Enzi hizo raha sana,unakula na kulala bure na majukumu hivyo ilikuwa raha sana
 
Yaani ilikuwa raha sana,mnakumbuka siku moja nilipata lifti ya gari kwenda home sasa ktk gari kulikuwa betri mie nikalikalia kuamka asubuhi kaptura imetoboka mama akanifukuza kwenda shule na kaptura ikiwa imetoboka but wala sikuona shida so mat**o nje
 
Ha ha ha nilikuaga timekeeper,one day njaa alikaa penyewe then nikaring 40 minutes b4 ten am ili nipate cha kujitetea,nikazungusha mshale wa saa kuonyesha saa 4

Hahahahaha njaa nouma mkuu
 
Ungekuwa karb mtoa mada nikupe zawadi....
nimekuwa time keeper drs la tatu hadi saba.....
uliyofanya niyakumbuke huo muda, siwez elezea.....old is gold
 
Daa mwaka 1973 nilikua darasa la nne aiseee imenikumbusha mbali sana
 
Mm nakumbuka 1999 niko la tatu shule ya msingi tandale magharibi..nilikuwa sio time keeper wala nn...but kiherehere tu..mishale ya saa tatu kumetuliaaa..nikaaga naenda washroom ,wakat narud nikapitia kwenye kengere bwana ..nikapiga mara nyingii saana ,mara naona wanafunzi woote na walimu wanatoka madarasan mm nashangaa sijui hili wala lile ..nikakamatwa bwana na std 7 ..kilichofuata huko oficin kwa walimu ni mkwaju mpaka basi.
 
Ha ha ha nilikuaga timekeeper,one day njaa alikaa penyewe then nikaring 40 minutes b4 ten am ili nipate cha kujitetea,nikazungusha mshale wa saa kuonyesha saa 4

mie nilipewa utime keeper ili kunikomesha tabia ya kuchelewa na kutoroka shule!!! wenzangu wakaambiwa siku mtu akinisaidia kugonga kengele atakiona cha mtema kuni...nilipata taabu sana..maana ishu ya kukimbilia kwenye sinema ilikuwa priority ya kwanza kwangu..tulikuwa na mashindano ya nani kaona movie nyingi zaidi na wenzangu
 
Nilikuwa time keeper, akili ilizoea kiasi kwamba sikuwaji kuchanganya muda, yaani kila baada ya dakika 40 naenda kuligonga, na ckuwahi kusahau!
 
Back
Top Bottom