Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,967
- 12,951
Najaribu kutafakari "wizi" uliotokea awamu zote mbili za JK na JPM.
Wizi sio mzuri ila kuna wizi wa kusaidiana (tuache unafki hili lipo)
Enzi za JK upigaji ulikuwa mwingi, ila wapigaji walikuwa wanaziachia pesa kwenye mzunguko watajenga majumba hapa kila sekta itafaidika mpaka mama ntilie wa mwisho ataipata (ukweli huu tuuamini ulikuwepo na umetusaidia)
Enzi za JPM upigaji tunaambiwa ulikuwa mwingi ila wapigaji pesa walifungia na ndio maana mzunguko ulikuwa mgumu (wajinga wanasema heshima ya pesa imerudi, hakuna kitu kama hicho)
Tuache unafki, nani alitusaidia hapa kati ya JK na JPM.
Na mnaosema mama anaongozwa na JK kama ni kweli basi freshi tu , ni kheri turudi enzi za JK kuliko kubakia enzi za Kayafa.
Sibariki Upigaji ila upigaji upo na ni sehemu ya maisha yetu. Ila Kayafa aliamua kuwa mbinafsi kwa kuiba na genge lake.
Wizi sio mzuri ila kuna wizi wa kusaidiana (tuache unafki hili lipo)
Enzi za JK upigaji ulikuwa mwingi, ila wapigaji walikuwa wanaziachia pesa kwenye mzunguko watajenga majumba hapa kila sekta itafaidika mpaka mama ntilie wa mwisho ataipata (ukweli huu tuuamini ulikuwepo na umetusaidia)
Enzi za JPM upigaji tunaambiwa ulikuwa mwingi ila wapigaji pesa walifungia na ndio maana mzunguko ulikuwa mgumu (wajinga wanasema heshima ya pesa imerudi, hakuna kitu kama hicho)
Tuache unafki, nani alitusaidia hapa kati ya JK na JPM.
Na mnaosema mama anaongozwa na JK kama ni kweli basi freshi tu , ni kheri turudi enzi za JK kuliko kubakia enzi za Kayafa.
Sibariki Upigaji ila upigaji upo na ni sehemu ya maisha yetu. Ila Kayafa aliamua kuwa mbinafsi kwa kuiba na genge lake.