Papa Mopao JF-Expert Member Joined Oct 7, 2009 Posts 4,166 Reaction score 2,670 Aug 18, 2015 #21 Khantwe said: vijiji vya wapi labda Click to expand... Kwa niliyoyashuhudia mimi, Morogoro kule Dakawa na Mbeya maeneo ya Ushirika
Khantwe said: vijiji vya wapi labda Click to expand... Kwa niliyoyashuhudia mimi, Morogoro kule Dakawa na Mbeya maeneo ya Ushirika
Jephta2003 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2008 Posts 6,732 Reaction score 6,633 Aug 18, 2015 #22 Hii ni simu yangu ya kwanza 1998 Attachments 1439894991610.jpg 8 KB · Views: 213
Bailly5 JF-Expert Member Joined Mar 11, 2015 Posts 16,545 Reaction score 35,405 Aug 18, 2015 Thread starter #23 Papa Mopao said: Tritel walikuwa na hizo Click to expand... noma sana
Mwamba028 JF-Expert Member Joined Nov 15, 2013 Posts 4,649 Reaction score 3,818 Aug 18, 2015 #24 masopakyindi said: View attachment 277499 Enzi hizo ukiwa na hiyo flip phone Motorola 1st generation, unaonekana wa maaana kumbe umeliwa! Ukipiga au kupigiwa unalipa!! Click to expand... hahah hii alikuaga nayo ding bc alkua ht akinipa nikaishika naona raaha
masopakyindi said: View attachment 277499 Enzi hizo ukiwa na hiyo flip phone Motorola 1st generation, unaonekana wa maaana kumbe umeliwa! Ukipiga au kupigiwa unalipa!! Click to expand... hahah hii alikuaga nayo ding bc alkua ht akinipa nikaishika naona raaha
Mwamba028 JF-Expert Member Joined Nov 15, 2013 Posts 4,649 Reaction score 3,818 Aug 18, 2015 #25 af hivi visimu vya zamani vilikua vigumu balaa,,
O Ohooo JF-Expert Member Joined Jul 8, 2015 Posts 807 Reaction score 1,086 Aug 18, 2015 #26 Enzi hizo vocha inaitwa dola
abby-msweet Senior Member Joined Apr 30, 2015 Posts 158 Reaction score 76 Aug 18, 2015 #27 Ohooo said: Enzi hizo vocha inaitwa dola Click to expand... Hahahahahaa mkuu umenikumbusha mbali sna natumwa dukani kununua celtel dola 2 hapo hakuna kujiunga ni kupiga na kutuma message bila vifurushi
Ohooo said: Enzi hizo vocha inaitwa dola Click to expand... Hahahahahaa mkuu umenikumbusha mbali sna natumwa dukani kununua celtel dola 2 hapo hakuna kujiunga ni kupiga na kutuma message bila vifurushi
Papa Mopao JF-Expert Member Joined Oct 7, 2009 Posts 4,166 Reaction score 2,670 Aug 19, 2015 #28 abby-msweet said: Hahahahahaa mkuu umenikumbusha mbali sna natumwa dukani kununua celtel dola 2 hapo hakuna kujiunga ni kupiga na kutuma message bila vifurushi Click to expand... Tulikuwa hatupigi maana dola huwa zinaisha haraka sana, tuliishia kubeepiana tu
abby-msweet said: Hahahahahaa mkuu umenikumbusha mbali sna natumwa dukani kununua celtel dola 2 hapo hakuna kujiunga ni kupiga na kutuma message bila vifurushi Click to expand... Tulikuwa hatupigi maana dola huwa zinaisha haraka sana, tuliishia kubeepiana tu
abby-msweet Senior Member Joined Apr 30, 2015 Posts 158 Reaction score 76 Aug 19, 2015 #29 Papa Mopao said: Tulikuwa hatupigi maana dola huwa zinaisha haraka sana, tuliishia kubeepiana tu Click to expand... Sema kudeep.😂😂
Papa Mopao said: Tulikuwa hatupigi maana dola huwa zinaisha haraka sana, tuliishia kubeepiana tu Click to expand... Sema kudeep.😂😂
Papa Mopao JF-Expert Member Joined Oct 7, 2009 Posts 4,166 Reaction score 2,670 Aug 19, 2015 #30 abby-msweet said: Sema kudeep. Click to expand... Hahaa! kwa mjua king'wazi hapo atakushangaa, lkn ukisema kudeep mhuni atafikiria unazungumzia kitu kingine kabisa hahahahaha!
abby-msweet said: Sema kudeep. Click to expand... Hahaa! kwa mjua king'wazi hapo atakushangaa, lkn ukisema kudeep mhuni atafikiria unazungumzia kitu kingine kabisa hahahahaha!