Enzi hizo za simu hizi

Hii ni simu yangu ya kwanza 1998
 

Attachments

  • 1439894991610.jpg
    8 KB · Views: 213
Hahahahahaa mkuu umenikumbusha mbali sna natumwa dukani kununua celtel dola 2 hapo hakuna kujiunga ni kupiga na kutuma message bila vifurushi

Tulikuwa hatupigi maana dola huwa zinaisha haraka sana, tuliishia kubeepiana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…