Historia inatumbia hapo mwanzo wanadam walikuwa chini ya maongozo ya Mungu na lakini baadae watu walitaka kutawaliwa na wafalme na hapa ndipo ukweli wa serikali umelala.
Ukioma paragrafu hizo zote ktk kitabu cha samweli kamwe hutopoteza muda kumshutumu kiongoz wa taifa nakumwambia atubu...
Nilazima ujiulize atubu nini? Mungu mwenyewe alisha tuwasa kupitia israel athari zakuwa na viongozi wa dunia na sio yeye.. Rais ana tawala kila kitu nimtu mkubwa sana na hatuwezi kumbeza na huu ndio ukweli.. Wakati viongoz wa dini wanapiga kelele juu ya Rais wetu nilazima wakumbuke na wao kuwa kama Magufuli angefuwa ile sheria pia vichwa vyao ni halali yake why very simple ni hiki kitabu..
Daud ktk Bible alimuuwa Uria kwasababu yamke wake. Uria alikuwa na mke mzuri sana lakini ilikuwa vigumu kwa Daud kumchukuwa hivyo Uria alipelekwa mbele vitani akafa na Daud akamchukuwa mke..
Huyu Daud ni mtu anatajwa madhabahuni kwa asilimia 99% lakini alikuwa mtu mbaya na alie uwa maelfu mpaka Mungu mwenyewe anasema akamwambia hatojenga hekalu lake kwa sababu ya dam alikuwa kamwaga.
Hiki kimetokea hapa kwetu nibora tunyamaze maana Rais wetu hajafanya bado yale tumetahadharishwa kwenye hiki kitabu. Rais wetu uwenda akawa mtakatifu maana bado ajafanya mengi ya yale Mungu aliwaonya israel juu ya wafalme.
Rais ni mtu mwenye mamlaka makubwa sana. Mamlaka yake haikosolewi kama vile akina lisu na wenzake walikuwa wanafanya. Rais hakosolewi kwa kauli zinataka kuligawa taifa ama kuleta Hali ya utawala kudharaulika.. Nahii ipo very clear kwenye miongoz ya utawala na mambo ya kiusalama.. Pia sheria imeenda mbali nakuwapa ruhusa watu mambo yakiusalama kumaliza kaz pindi kunawasaliti ndani ya serikali na nje pia.
Hii sio kwa tanzania tu but all ober the world...
Kama mtakumbuka Marekani kipindi cha Obama alikufa mtu muhimu sana ndani ya white house na kifo chake kilikuwa kugongwa na gari... No one comment ila maswali ni mengi....
Sio tu kifo hicho kunavifo vimetokea vyakutisha sana lakini hakuna mtu amewahi kuvijadili..
Kupigwa Risasi ambapo Lissu anatuaminisha serikali nivyema akatoa pia siri zote alizokuwa akiambiwa na maafisa usalama ili tuamini serikali inahusika kitendo chakumshambulia Rais bila kuwa na data ni jambo lakifedhuli nakuikosea serikali nakuziona mamlaka zote hazifanyi kazi yake vizuri..
Kwangu siku zote najiuliza swali gumu why Rais aruhusu kumpiga risasi while we have soo smary vikosi vyakumaliza watesi wa Serikali? Why Mh Rais atumie risasi...
Hi guys tuna sumu mtu wala hapigi chafya kwaheri...
Tunasumu mtu anakufa polepole yani tena kwa maleria au cancer yani no need yahizi purukushani... Kweli tunapoteza muda kwa vitu hatuna data...
Mmesahau Russia walivyo muuwa afisa usalama wao mpaka UK wakakesha kutafuta ant dot mpaka leo manyoya
Alafu mnasema nini taifa letu lina wasomi maelfu from russia why wampe ujiko huyu mtu kwa kumpiga risasi. Hivi ujuwi kifo cha risasi ni kifo cha kishujaa ina maana Lisu ni shujaa kindly give me a break.... Angemzuwia Lowasa mlangoni shame on ye team chadema
Pia kama basi kweli Tundu lisu atakuwa kunakitu anakijuwa na zile risasi anajuwa dhambi yake stop....
Ukioma paragrafu hizo zote ktk kitabu cha samweli kamwe hutopoteza muda kumshutumu kiongoz wa taifa nakumwambia atubu...
Nilazima ujiulize atubu nini? Mungu mwenyewe alisha tuwasa kupitia israel athari zakuwa na viongozi wa dunia na sio yeye.. Rais ana tawala kila kitu nimtu mkubwa sana na hatuwezi kumbeza na huu ndio ukweli.. Wakati viongoz wa dini wanapiga kelele juu ya Rais wetu nilazima wakumbuke na wao kuwa kama Magufuli angefuwa ile sheria pia vichwa vyao ni halali yake why very simple ni hiki kitabu..
Daud ktk Bible alimuuwa Uria kwasababu yamke wake. Uria alikuwa na mke mzuri sana lakini ilikuwa vigumu kwa Daud kumchukuwa hivyo Uria alipelekwa mbele vitani akafa na Daud akamchukuwa mke..
Huyu Daud ni mtu anatajwa madhabahuni kwa asilimia 99% lakini alikuwa mtu mbaya na alie uwa maelfu mpaka Mungu mwenyewe anasema akamwambia hatojenga hekalu lake kwa sababu ya dam alikuwa kamwaga.
Hiki kimetokea hapa kwetu nibora tunyamaze maana Rais wetu hajafanya bado yale tumetahadharishwa kwenye hiki kitabu. Rais wetu uwenda akawa mtakatifu maana bado ajafanya mengi ya yale Mungu aliwaonya israel juu ya wafalme.
Rais ni mtu mwenye mamlaka makubwa sana. Mamlaka yake haikosolewi kama vile akina lisu na wenzake walikuwa wanafanya. Rais hakosolewi kwa kauli zinataka kuligawa taifa ama kuleta Hali ya utawala kudharaulika.. Nahii ipo very clear kwenye miongoz ya utawala na mambo ya kiusalama.. Pia sheria imeenda mbali nakuwapa ruhusa watu mambo yakiusalama kumaliza kaz pindi kunawasaliti ndani ya serikali na nje pia.
Hii sio kwa tanzania tu but all ober the world...
Kama mtakumbuka Marekani kipindi cha Obama alikufa mtu muhimu sana ndani ya white house na kifo chake kilikuwa kugongwa na gari... No one comment ila maswali ni mengi....
Sio tu kifo hicho kunavifo vimetokea vyakutisha sana lakini hakuna mtu amewahi kuvijadili..
Kupigwa Risasi ambapo Lissu anatuaminisha serikali nivyema akatoa pia siri zote alizokuwa akiambiwa na maafisa usalama ili tuamini serikali inahusika kitendo chakumshambulia Rais bila kuwa na data ni jambo lakifedhuli nakuikosea serikali nakuziona mamlaka zote hazifanyi kazi yake vizuri..
Kwangu siku zote najiuliza swali gumu why Rais aruhusu kumpiga risasi while we have soo smary vikosi vyakumaliza watesi wa Serikali? Why Mh Rais atumie risasi...
Hi guys tuna sumu mtu wala hapigi chafya kwaheri...
Tunasumu mtu anakufa polepole yani tena kwa maleria au cancer yani no need yahizi purukushani... Kweli tunapoteza muda kwa vitu hatuna data...
Mmesahau Russia walivyo muuwa afisa usalama wao mpaka UK wakakesha kutafuta ant dot mpaka leo manyoya
Alafu mnasema nini taifa letu lina wasomi maelfu from russia why wampe ujiko huyu mtu kwa kumpiga risasi. Hivi ujuwi kifo cha risasi ni kifo cha kishujaa ina maana Lisu ni shujaa kindly give me a break.... Angemzuwia Lowasa mlangoni shame on ye team chadema
Pia kama basi kweli Tundu lisu atakuwa kunakitu anakijuwa na zile risasi anajuwa dhambi yake stop....