wakwatito
Member
- Apr 15, 2018
- 30
- 49
Mwanamke amemliwa kimtii mume wake na sio kumpenda, mwanaume ameamuliwa kumpenda mke wake, na ndani ya utii kuna upendo heshima unyenyekevu.
Wanawake wengi leo tunajua kupenda na sio kimtii mumeo au mpenzi wako, tujifunze kutiii wanaume zetu au wapenzi wetu, ili wanaume wazidi kutupenda. Sababu ya kuwatii kwetu
Wanawake wengi leo tunajua kupenda na sio kimtii mumeo au mpenzi wako, tujifunze kutiii wanaume zetu au wapenzi wetu, ili wanaume wazidi kutupenda. Sababu ya kuwatii kwetu