Mtoto wa Mama Samia
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 772
- 392
Live today as if there is no tomorrow. Uzee si kitu chema, ni muda wa maradhi mengi, uchovu mwingi, majuto tele,... Aah, better to live to the maximum, don't let a day go without enjoying life.Vunja mifupa ingali meno bado iko yote.
If a neighbor ask you for a company in a cold night, usimnyime, mpe tu ilimradi ni SALAMA. Kwani inaisha kama mshumaa? Unamnyima mtu, sawa. Siku moja unakufa unaenda na utamu wako, wanafaidi sisimizi na funza. Ndio nini sasa?
Mtu anaomba hadi analia, lakini hapewi. Jamani! Kisa? Hana hela! Kwani utazikwa na hela? Si bora damu Utazikwa nayo?
Ukiwa na hela na wewe usiwe bahili, utazikwa na hela? Tumia hela to the maximum. Siku ukifa ukaacha salio la, let say million kumi, jamaa zako watatesa sana. Watanunua smartphone za bei mbaya Ilihali wewe ulijibana na simu uchwara. Kama hela ipo kwa nini usihonge mademu wakali? Mkajirusha viwanja vikali? Pombe kali? Pamba kali?... Usiishi kwa kuokoteza okoteza.
Furahia maisha na watu uliokaribu nao. Yaweza kuwa ofisini, au simply mtaani. Tunafanya kazi ofisi moja Dar, ninaomba mzigo unaninyima lakini unasafiri kwenda Mwanza kuhemea mahaba.
If you enjoy life with people around you, you will die a very happy man, very happy death.
If you are born for music, dance as if there is no tomorrow. If your body is burning for sex, let you do it with the sweetest woman/ man. If you are born academician, read and write to the maximum... Research, where is your happiness? ����
Remember that we all live once, God has given us a golden opportunity to live in this world. One day, one by one, we vanish.
Enjoy to the maximum.
Ni mtazamo tu.
If a neighbor ask you for a company in a cold night, usimnyime, mpe tu ilimradi ni SALAMA. Kwani inaisha kama mshumaa? Unamnyima mtu, sawa. Siku moja unakufa unaenda na utamu wako, wanafaidi sisimizi na funza. Ndio nini sasa?
Mtu anaomba hadi analia, lakini hapewi. Jamani! Kisa? Hana hela! Kwani utazikwa na hela? Si bora damu Utazikwa nayo?
Ukiwa na hela na wewe usiwe bahili, utazikwa na hela? Tumia hela to the maximum. Siku ukifa ukaacha salio la, let say million kumi, jamaa zako watatesa sana. Watanunua smartphone za bei mbaya Ilihali wewe ulijibana na simu uchwara. Kama hela ipo kwa nini usihonge mademu wakali? Mkajirusha viwanja vikali? Pombe kali? Pamba kali?... Usiishi kwa kuokoteza okoteza.
Furahia maisha na watu uliokaribu nao. Yaweza kuwa ofisini, au simply mtaani. Tunafanya kazi ofisi moja Dar, ninaomba mzigo unaninyima lakini unasafiri kwenda Mwanza kuhemea mahaba.
If you enjoy life with people around you, you will die a very happy man, very happy death.
If you are born for music, dance as if there is no tomorrow. If your body is burning for sex, let you do it with the sweetest woman/ man. If you are born academician, read and write to the maximum... Research, where is your happiness? ����
Remember that we all live once, God has given us a golden opportunity to live in this world. One day, one by one, we vanish.
Enjoy to the maximum.
Ni mtazamo tu.