Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,980
- 95,495
katika taswira yangu ya subconcious mind nakuonaga we ni cheupe dawa eti
rangi ya lips tafadhali.............
Hawako mbali, utawakuta beach!Where is mama UBaya categorized?
Nikatamani nitume yangu! Ila nkajua watu humu wataanza kunisengenya mara sina kiuno mara sina pakukalia! Ila ukweli ni kuwa hadi nafikisha umri huu, sijawah paka lotion,poda ,lipstic,wala chochote kwenye ngozi yangu. Napenda rangi nyeusi ya ngozi yangu! Kiukweli mie nikati ya wachache tunayoipenda rangi hii inayopotea! Am totally black!View attachment 171791 View attachment 171792 View attachment 171793 View attachment 171794 View attachment 171795 View attachment 171796 View attachment 171797 View attachment 171798 View attachment 171799 View attachment 171800 View attachment 171801 View attachment 171802 View attachment 171803 View attachment 171804 View attachment 171805 Wanabodi,
Kwa vile leo ni weekend, hakuna ubaya kuburudika na picha za blacks beauty ambapo katika wasifu wa Black Beauty, jee, did you know kuna two different types of Black Beauties?!.
Kuna Blacks ambao ni black inside out na kuna blacks ambao ni black outside but inside red!.
Hao black inside out ni weusi kote, nje, ndani weusi, utawajua kwa lips nyeusi, na fizi nyeusi na wale black outside, but inside red, ni weusi wa rangi ya ngozi ya nje tuu, ila inside ni red na utawajua with red lips!.
Lengo ni kuelimishana tuu kuhusu hizi two different types of blacks! na kuwapatia burudani ya macho kwa week end!.
Amini usiamini, ukiangalia vitu vizuri!, you'll feel good!, when you feel good, you open powers doors to be good and to get good things in life!.
Wale wengine wenye black pics leteni tuziongezee!, kizuri tazama na wenzio!.
Week end njema!.
Pasco
Duu, hiki kitu cha ukweli saaaaaana.wakuu wanaojichubua wapo kundi gani?.likes of wema sepetu.
Hii nayo vipi?View attachment 171791 View attachment 171792 View attachment 171793 View attachment 171794 View attachment 171795 View attachment 171796 View attachment 171797 View attachment 171798 View attachment 171799 View attachment 171800 View attachment 171801 View attachment 171802 View attachment 171803 View attachment 171804 View attachment 171805 Wanabodi,
Kwa vile leo ni weekend, hakuna ubaya kuburudika na picha za blacks beauty ambapo katika wasifu wa Black Beauty, jee, did you know kuna two different types of Black Beauties?!.
Kuna Blacks ambao ni black inside out na kuna blacks ambao ni black outside but inside red!.
Hao black inside out ni weusi kote, nje, ndani weusi, utawajua kwa lips nyeusi, na fizi nyeusi na wale black outside, but inside red, ni weusi wa rangi ya ngozi ya nje tuu, ila inside ni red na utawajua with red lips!.
Lengo ni kuelimishana tuu kuhusu hizi two different types of blacks! na kuwapatia burudani ya macho kwa week end!.
Amini usiamini, ukiangalia vitu vizuri!, you'll feel good!, when you feel good, you open powers doors to be good and to get good things in life!.
Wale wengine wenye black pics leteni tuziongezee!, kizuri tazama na wenzio!.
Week end njema!.
Pasco
Issue za hivyo huwa nazionea huruma kuzipiga speed ya farasiHeave, sikutii kiburi wewe bali ndio ukweli ulivyo!, ninauhakika wale wanaobahatikaga huwa wanakuambia!, kwa vile huwa hamuulizani maneno mnao ambiwa, hivyo unadhani hao wanaokuambia hayo wanayokuambia ndio zao kazi yao ni kuyasema hayo hayo kwa wote!.
Hujagundua tuu kuna watu huwa wana ng'ang'aniwa wakati kuna wengine watu huja na kujipitia tuu huku wakiendelea na safari zao?!. Hujiulizi?!.
Pasco
Mkuu Sallu, acha uchokozi!, wenzio saa hizi tunajiandaa kwa Kwaresma, tena kwa sisi wataalamu wa kupima kule, kwa mwanamke unaangalia the proportionality size ya lips, ni direct proportional na size ile ile, na radious ya mdomo, ndio radius ile ile kule!, sasa ukiangalia hiki kimdomo... mambo mengine acha, kwa sisi tunaotumia verified names, unaweza kusababisha kesi!, ila vitu vingine...!.
ukiangalia hiyo lips, hii ni black inside red!, ni hatari...asali itasubiri!.
Unaona eh, ndiyo maana sisi wanaume hatuishi maisha marefu.ukiangalia hiyo lips, hii black inside red!, ni hatari...asali itasubiri!.
P.
Being happy, doing what you love and enjoys, prolongs sana life, hivyo kama ni mpenzi wa kutazama, ukitazama tuu, unafurahi na kurefusha maisha, na kama ni mpenzi wa kutumia, unajaribu bahati yako, mpaka leo Mswati yuko kama late 20s!.Unaona eh, ndiyo maana sisi wanaume hatuishi maisha marefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila uongo mbaya King anafaidi jamani.Being happy, doing what you love and enjoys, prolongs sana life, hivyo kama ni mpenzi wa kutazama, ukitazama tuu, unafurahi na kurefusha maisha, na kama ni mpenzi wa kutumia, unajaribu bahati yako, mpaka leo Mswati yuko kama late 20s!.
Lengo la Mungu kutuumba ni ili tuishi na kupata raha, baada ya kumuumba Adamu ndipo akamuona ni mpweke, ndipo akamuumbia mwenza ili ampe raha, hivyo hao viumbe tumeumbiwa ili kupata raha.
P.
Hahaa kabisa pumbavu sana Dr.galloMwacheni Mungu aitwe Mungu....
Alaaniwe aliyeleta ukimwi..... shenzy zake sana wallah!!