...ebana eeh, mimi na kaugonjwa ka kuwatakia mabaya England national teams, au team GB kwa lolote wanalofanya lakini bila wao kwenye EURO 2008, haka kakisiwa kalipooza sana.
World Cup bila wao ingekuwa soo boring hapa. Bora wamefaulu...
Argentina watafanikiwa wajemeni au? World Cup bila Brazil, Argentina, Germany, England, Italy, na France bado haijanoga!...