mkuu course zote mbili ni nzuri mimi nasoma agricultural engineering ni course nzuri sana ila hata geology ni nzuri sana hivyo soma kile unachopenda mkuuu!!
mkuu course zote mbili ni nzuri mimi nasoma agricultural engineering ni course nzuri sana ila hata geology ni nzuri sana hivyo soma kile unachopenda mkuuu!!
mkuu loans kwa agricultural engineering unapata bila shaka my be unaweza Kuwa unalipa110000 maximum au unaweza uailipe kabisa mimi nalipa hiyo figure ni do go sana mkuu , kwa mwaka ila ukiomba irrigation engineering and water resources mkopo unapiga 100% a ila coz ni nzuri sana kwani irrigation engineering iko within agricultural engineering
mkuu karibu Sua college of agricultural engineering