Kiasi cha oil kinachozidi kwenye injini kinapunguza nafasi wazi iliokusudiwa kwa ajili ya hewa na mzunguko wa cranshaft kwa wepesi (injini inakuwa zito)
Kuna uwezekano mkubwa gari yako imewekewa oil nzito zaidi ya inayotumia ndio maana haivujishi kama mwanzo. Au wameweka STP.
Madhara yake ni kwa muda mrefu.
Piston rings zitazidiwa na uchafu zitashindwa kujitanua itaanza kuchelewa kuwaka na moshi.
Pia vitu vidogo vidogo kama oil prs switch itachelewa kuzima, nk.
Ni diesel au petrol?