GE2025 Mhandisi Emmanuel Kisendi alitaka Jimbo la Magu kupitia CCM

GE2025 Mhandisi Emmanuel Kisendi alitaka Jimbo la Magu kupitia CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae pia ni Mtaalamu wa Maji na Madini Eng ,Emmanuel Kisendi amechukua fomu kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Magu Mkoani Mwanza.

Eng Kisendi anasema huu ni wakati sahihi kabisa kwake kuwatumikia wanaMagu akiwa kama Mbunge wa jimbo hilo kwa kuwaletea maendeleo.

1751435412449.png
 
Back
Top Bottom