Eneo linauzwa Kigamboni sqm 5000

Eneo linauzwa Kigamboni sqm 5000

Dalali wa Mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
1,074
Reaction score
1,564
Habari wakuu.

Eneo la sqm 5000 linauzwa kigamboni opposite chekechea.

Eneo linaangalia barabara kuu ya kwenda kongowe ukitokea kigamboni darajani unaenda moja Kwa moja Hadi chekechea unakutana na eneo lako.

Eneo linafaa Kwa uwekezaji wowote ule.

Yard
Kituo cha mafuta
Hotel
Apartment na uwekezaji mwingine.

Sqm 5000
Hati ya wizarani
Billion 1 za Kitanzania.

📱0754693556
 
Billion 1 unaitamka kirahisi tu wakati ukoo wenu mzima hamna pumbavu
Kwa Sasa hatuna Kweli lakini Kwa badae Mimi ndio mmiliki wa Zaidi ya hiyo Bilion moja.

Tunza hii comment mkuu.
Nitakukumbusha badae kama bado upo Hai.
 
Ardhi ya Dar ni ghali kuliko furnished complete house ya New York city na mauchumi yake! Kweli tunaendelea kwa kasi sana, shukrani kwa mama!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom