zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,039
- 3,613
kiwanja cha ekari tano .kila eka moja milioni tatu.kipo mlandizi karibia na kiwanda kikubwa cha kutengeza vyuma cha kuluwa.sio mbali kutoka barabara kuu..karibuni
Usawa huu wa Magu hacha wenye mavumba yao ambao sio wapiga dili waje.kiwanja cha ekari tano .kila eka moja milioni tatu.kipo mlandizi karibia na kiwanda kikubwa cha kutengeza vyuma cha kuluwa.sio mbali kutoka barabara kuu..karibuni
ndio hali mbaya sio kwa wote mkuuUsawa huu wa Magu hacha wenye mavumba yao ambao sio wapiga dili waje.
Ndiyo mkuu wenye mavumba yao wajinafasi.ndio hali mbaya sio kwa wote mkuu