Landed Property
Member
- Nov 17, 2011
- 40
- 7
Wasalaam WanaJF,
Ninahitaji eneo la kupanga kwa ajili ya ofisi hapo Moshi Mjini;
1. Eneo lenye ukubwa usiopungua mita za mraba 200 (200sqm)
2. Liwe Sakafu ya chini (Ground Floor) - linaweza kuwa nusu FG na nusu floor ya juu
3. Liwe mjini Moshi - sehemu inayoonekana na kufikika kirahisi,
Nitakuwa Moshi Mjini kuanzia Ijumaa (2nd Nov 2012)
Kwa yeyote mwenye msaada wa kunielekeza wapi pa kwenda (mmiliki, dalali, etc) nitashukuru.
Asante
Ninahitaji eneo la kupanga kwa ajili ya ofisi hapo Moshi Mjini;
1. Eneo lenye ukubwa usiopungua mita za mraba 200 (200sqm)
2. Liwe Sakafu ya chini (Ground Floor) - linaweza kuwa nusu FG na nusu floor ya juu
3. Liwe mjini Moshi - sehemu inayoonekana na kufikika kirahisi,
Nitakuwa Moshi Mjini kuanzia Ijumaa (2nd Nov 2012)
Kwa yeyote mwenye msaada wa kunielekeza wapi pa kwenda (mmiliki, dalali, etc) nitashukuru.
Asante