Kuuza break down ipo hivi:
1.plot 1600 sqm 7.5m malipo kwa installment tatu inawezekana kwa plot tu sio banda installment ya kwanza 40% balance inayobaki unalipa kwa installment mbili.
2.gharama Za banda na fence na tank as follows banda 8m,tank laki 8,fence ya wire 2.5m,solar 1.2m.total ya banda na vyote ndani ya plot 12.5m hii tungependa ulipie Papo hapo kama tunakuachia eneo uendelee kulitumia
Gharama ya kukodisha ni laki tano kwa mwezi tunapokea installment ya kwa miezi 6 au mwaka ingawa mwezangu alikuwa anaprefer mikataba iwe ya mwaka ili awe na uhakika.
Eneo lipo sehemu nzuri sana kwa wanaopenda kufuga aina yeyote ya mifugo hata kujenga baadae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.