AfriNet Core Tz
Member
- Feb 7, 2015
- 30
- 12
Mahali: kigamboni kwa URASA
Muingiliano: Ni sehemu iliyochangamka na ina wakazi wazawa na sehemu kubwa mji unachangamshwa na wanachuo kutoka vyuo kama IFM, CBE, Mwl.Nyerere na Chuo cha Utumishi wa Umma (Magogoni). Mzunguko na mkusanyiko wa watu ni mkubwa.
Eneo: Eneo hili la biashara lipo katika sehemu nzuri kibiashara, pia linafaa kwa biashara za aina zote na ukapata wateja wengi na wa uhakika. Eneo ni kubwa la kutosha, pia eneo lina hewa ya kutosha.
Eneo limejengwa kitaalamu na ni sehemu yenye mvuto kibiashara.
BEI: Eneo hili linauzwa Tsh. 5 Millions
Mawasiliano: Kwa yeyote mwenye uhitaji wasiliana nasi kwa namba hii; +255 713 741 758 au Email hii; corneliousbk@gmail.com
NB: Naambatanisha baadhi ya picha za eneo hilo.
Muingiliano: Ni sehemu iliyochangamka na ina wakazi wazawa na sehemu kubwa mji unachangamshwa na wanachuo kutoka vyuo kama IFM, CBE, Mwl.Nyerere na Chuo cha Utumishi wa Umma (Magogoni). Mzunguko na mkusanyiko wa watu ni mkubwa.
Eneo: Eneo hili la biashara lipo katika sehemu nzuri kibiashara, pia linafaa kwa biashara za aina zote na ukapata wateja wengi na wa uhakika. Eneo ni kubwa la kutosha, pia eneo lina hewa ya kutosha.
Eneo limejengwa kitaalamu na ni sehemu yenye mvuto kibiashara.
BEI: Eneo hili linauzwa Tsh. 5 Millions
Mawasiliano: Kwa yeyote mwenye uhitaji wasiliana nasi kwa namba hii; +255 713 741 758 au Email hii; corneliousbk@gmail.com
NB: Naambatanisha baadhi ya picha za eneo hilo.