Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,831
- 3,063
Wakuu, kwa wale ambao mlishatembelea fukwe za ununio aisee ni nzuri balaa kuna lounge za kibabe sana maeneo yale natarajia hii game ya Arsenal na Manchester city niende kuitazama katika fukwe hizo.
naona tv zipo za kutosha ila sijajua kama kuna access ya dstv kwa maeneo yale wenye uzoefu na mazingira hayo mtupe ufafanuzi kama tunaweza kucheki hicho kichupa cha EPL live kutoka fukwe hizo.
Note: kule usiende na pesa za mawazo bei ya vyakula, vinywaji mpaka pisi imechangamka kidogo.
naona tv zipo za kutosha ila sijajua kama kuna access ya dstv kwa maeneo yale wenye uzoefu na mazingira hayo mtupe ufafanuzi kama tunaweza kucheki hicho kichupa cha EPL live kutoka fukwe hizo.
Note: kule usiende na pesa za mawazo bei ya vyakula, vinywaji mpaka pisi imechangamka kidogo.