EMINEM na STAN wake

100%
 
Yupo poa...

Karibia nyimbo zote za Eminem ni nzuri...

Love the way you lie (ft Rihana)
Without me
Not Afraid
Killshot
Mockingbird
When am gone
My name is
Superman
Just loose it
Like Toy Soldiers (My favourite)
The way i am
Ass like that
Shake that ass
Remember me
Cleaning out my closet
8 miles
Stan
Kiss my ass (*** you too)



Cc: mahondaw
 
Asante sana chief,alafu nilikua sijui kama ugomvi wa Stan na mke wake ilikua pia ni sehemu ya Stan kumuiga Eminem..!
Hakika Stan alikua mwehu..!
Ila mkongwe,mashabiki aina ya Stan wapo kweli..?
Tupo asee,mm ni stan wa soka,namkubali sana rooney,ad nkaanzisha mahusiano na binti wa watu tukiwa machalii ili baadae tukitoboa tuwe tuna ka hstoria tumetoka mbali km WR10 na mkewe,ah ah ah hadi sasa mambo yako poa,rooney nimebaki alone,coleen wangu kaolewa na niliemkuzia
 
Umetisha mzazi...
Nilivyoiona hiyo ngoma ya "My name is" ndio nimeamini kuwa unamfuatilia vyema huyu fundi wa michano...
 
Kwan hiyo Stan ni story ya kweli?
Mi nilimkubali zaid jamaa kwenye ile nyimbo yupo na jay z ya kuitwa Renegade,,
Beat tamu sana ile
Dah

Me ndo maana nimeshindwa kuweka list

Ntaweka upi niache upi? Renegade never being afraid to say abt anything

Nakumbuka nimebishana sana na wana Juu ya nan alimfunika mwenzie
 
Umetisha mzazi...
Nilivyoiona hiyo ngoma ya "My name is" ndio nimeamini kuwa unamfuatilia vyema huyu fundi wa michano...

Huyu jamaa najikutaga nanunua album zake kama...

1) Infinite ya 1996
2) The Slim Shady LP ya 1999
3) The Marshal Mothers LP ya 2000
4) The Eminem show ya 2002
5) Encore 2004
6) Straight from the vault ya 2011
7) The Marshal Mothers LP2 ya 2013

Zingine sikufanikiwa kununua... Album number 3 na 4 ni zilifunika mbaya...

Cc: mahondaw
 
Dah

Me ndo maana nimeshindwa kuweka list

Ntaweka upi niache upi? Renegade never being afraid to say abt anything

Nakumbuka nimebishana sana na wana Juu ya nan alimfunika mwenzie
Jay z aliachwa mbali sana hata jay mwenyew analijua hilo
 
List "kuntu" Mzee baba..!
Ila naona watu hamuiweki Rap God kwenye list zenu..!
Mimi naona hicho chuma ni hatari kwelikweli..!
Hakuna ngoma kali ya EMINEM kama RABBIT RUN... 🙌🙌🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…