noel kaminyoge Member Joined May 22, 2015 Posts 24 Reaction score 15 Jul 10, 2019 #1 Nimejaziwa chakula kingi kuliko wote na mama ntile hii inaleta tafasiri gan wananzengo?
BOB OS JF-Expert Member Joined Dec 11, 2011 Posts 3,462 Reaction score 7,007 Jul 10, 2019 #2 peleka huo ujinga fesibuku,, ukacheze na watoto wenzako
D DAN LOKOMOTIVE JF-Expert Member Joined Dec 16, 2016 Posts 1,536 Reaction score 1,998 Jul 10, 2019 #3 noel kaminyoge said: Nimejaziwa chakula kingi kuliko wote na mama ntile hii inaleta tafasiri gan wananzengo? Click to expand... yaani we jamaa una akli za kitoto ukiona mdada anakuita mchumba au huyu mme wangu na wewe unaona kweli unapendwa na huku una miaka mi 5 na yeye ana miaka 28 sasa ndo wewe
noel kaminyoge said: Nimejaziwa chakula kingi kuliko wote na mama ntile hii inaleta tafasiri gan wananzengo? Click to expand... yaani we jamaa una akli za kitoto ukiona mdada anakuita mchumba au huyu mme wangu na wewe unaona kweli unapendwa na huku una miaka mi 5 na yeye ana miaka 28 sasa ndo wewe
MKUYENGE JF-Expert Member Joined Jun 26, 2019 Posts 4,106 Reaction score 4,619 Jul 10, 2019 #4 noel kaminyoge said: Nimejaziwa chakula kingi kuliko wote na mama ntile hii inaleta tafasiri gan wananzengo? Click to expand... Amekuona wewe mroho sana
noel kaminyoge said: Nimejaziwa chakula kingi kuliko wote na mama ntile hii inaleta tafasiri gan wananzengo? Click to expand... Amekuona wewe mroho sana
Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 34,637 Reaction score 38,016 Jul 10, 2019 #5 noel kaminyoge said: Nimejaziwa chakula kingi kuliko wote na mama ntile hii inaleta tafasiri gan wananzengo? Click to expand... Kakuona Una njaa SANA.... Hivyo kakujazia ili ushibe vizuri
noel kaminyoge said: Nimejaziwa chakula kingi kuliko wote na mama ntile hii inaleta tafasiri gan wananzengo? Click to expand... Kakuona Una njaa SANA.... Hivyo kakujazia ili ushibe vizuri
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 39,610 Reaction score 61,099 Jul 10, 2019 #6 ha ha ha
Joanah JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 26,208 Reaction score 96,425 Jul 10, 2019 #7 Alikuona una njaa kuliko wote
nosspass JF-Expert Member Joined Mar 7, 2013 Posts 5,819 Reaction score 4,796 Jul 10, 2019 #8 AMEKUONA UNA DALILI ZA "BWABWA"
To yeye JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 20,175 Reaction score 37,704 Jul 10, 2019 #9 Kakuona mrafi mno
D Daddi JF-Expert Member Joined Jan 6, 2017 Posts 890 Reaction score 1,401 Jul 10, 2019 #10 Chizi kweli hahahah