Embu tuchat wawili wawili humu

I believe in me na mpaka mwanamke kanimbia nimekuchoka basi ujue kakuchoka kweli,
But all in all true love never dies na mkiona Mme chokana basi mlikuwa mnachezeana na kulikuwa hakuna true love hapo.
Upo sahihi100%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom