YeahI believe in me na mpaka mwanamke kanimbia nimekuchoka basi ujue kakuchoka kweli,
But all in all true love never dies na mkiona Mme chokana basi mlikuwa mnachezeana na kulikuwa hakuna true love hapo.
Waambie ya nini tuwaze shida za kesho, wakati we are happy today.Nipo eti wanasema hatutofika mbali
Kaenda waapiHapa hayupo bro😃
Nilikuwa nakumbushia kidogo au ww ni kizazi cha tozoNdugu yangu😩 kazi unayo
Wee😂😂Smart911 njoo tuchat