Email ya ku-apply kazi AMREF kukataa nini tatizo?

Email ya ku-apply kazi AMREF kukataa nini tatizo?

mkeyamasai

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
383
Reaction score
153
Habarini wadau,
Nauliza kuna aliyefanikiwa kuapply kazi za Amref za hivi karibuni?
tokea jana natuma application inaniambia mailbox yao ipo full email haiwezi kwenda na deadline bado ni hadi kesho sa 10.
 
Habarini wadau,
Nauliza kuna aliyefanikiwa kuapply kazi za Amref za hivi karibuni?
tokea jana natuma application inaniambia mailbox yao ipo full email haiwezi kwenda na deadline bado ni hadi kesho sa 10.
hata mimi nimekuta hilo tatizo
 
Back
Top Bottom