Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,221
- 2,425
๐ Tajiri Elon musk anasema kama Kuna mtu anafikiri haiwezekani kwenda kuishi kwenye Sayari ya Mars shauri yao lakini lazima lengo litimie twende tukatengeneze makazi huko.
๐ก ๐๐ก๐ค๐ฃ ๐ข๐ช๐จ๐ ๐๐ฃ๐๐๐ข๐๐ฃ๐ ๐ ๐๐ข๐ฅ๐ช๐ฃ๐ ๐ฎ๐๐ ๐ ๐ฎ๐ ๐๐ฅ๐๐๐๐ ๐๐ฉ๐๐ฌ๐๐ฏ๐ ๐ ๐ช๐ฌ๐๐ฅ๐๐ก๐๐ ๐ ๐๐๐ฃ๐๐๐๐ข๐ช kwenda kuishi kwenye Sayari ya Mars ndani ya miaka 4 kuanzia sasa, na kuongezea Kwa kusema kuwa wataweza kujenga miji inayojitegemea Kuna kazi muhimu.
โ๏ธ Kupitia mahojiano ya hivi Karibu ya podcast aliyofanya na Seneta Ted Cruz na Ben Ferguson, Elon Musk Aliweza kusema:
" Kitu Cha muhimu zaidi ni kuweza kujenga Jiji la kisasa la kujitegemea kwenye Sayari ya Mars haraka iwezekanavyo.
Na muhimu zaidi watu watakua wanaishi huko huku Jiji linaendelea kukua, kuendelea kufanikiwa na kufikia mtu kuweza kufanya safari ya Mars na Duniani kama unatoka New York city kwenye Ufaransa".
Musk anasema inaweza chukua miaka 20 TU kuunda Koroni kwenye Sayari ya Mars litakua na uwezo wa kuwahudumia watu zaidi ya milioni 20 bila kutegemea msaada kutoka Duniani.
Alisema lengo ni kuweza kupunguza zile changamoto za kidunia na Majanga ya kidunia miaka ijayo.
Shida kubwa iliyopo kwenye Sayari ya Mars ni hali ya Hewa baridi balaa yani baridi Kali hewa nyembamba, haina angahewa inayoweza kupumua, na rasilimali chache.
Anasema kuanzia maji , chakula, Makazi, zana hata Hewa itaweza kuundwa huko huko kwaiyo musk anasema tutaweza kujenga viwanda vya Dunia kwenye Sayari nyingine.
Je unafikiri nini Tajiri Elon musk anaota au tutaweza kuishi kwenye Sayari ya Mars miaka minne ijayo ??