Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,614
- 272,366
" wabunge wa ccm tusiyumbishwe "
Uyu kijana sio bure, lazima atakuwa ana lahana hasa toka kwa wazazi wakeKaka yangu wakati wafanyakazi wanalia na kikokotoo wewe ulikuja na hoja zako za kutetea ugali wako. Rejea![]()
Kingu: Wabunge wa CCM tusiyumbishwe! - JamiiForums
Wakati wewe ukijua kuwa unachukua mafao yako asilimia mia wewe ukakurupuka kuja kutetea watumishi kupunjwa mafao yao na ukapinga vikali kuwepo kwa fao la kujitoa kwa madai kuwa fao hilo linarudisha nyuma juhudi za Raisi kwenye Viwanda
Sasa leo kweupe umeumbuliwa na Raisi Magufuli, ifike mahali wabunge muache njaa na kujisahau, umeshashiba nnje una v8 kali na jumba la kifahari mixer shopping za Dubai, tayari ushasahau ulipotoka.
Sent using Jamii Forums mobile app




. Kashikwa pabayaKama kweli Kingu ni Msabato basi dhehebu hili lina maotea mengi siku hizi. Hili ni la kung'oa na kutupa motoni. Wasabato msikubali kukaa na Shetani kanisani.
Elibariki Kingu nilishamdharau siku nyingi sana toka aibe pesa igunga na pia kelewa na El baadae akamgeuka. Yeye ni kujipendekeza tu alwaysKaka yangu wakati wafanyakazi wanalia na kikokotoo wewe ulikuja na hoja zako za kutetea ugali wako. Rejea
Kingu: Wabunge wa CCM tusiyumbishwe! - JamiiForums
Wakati wewe ukijua kuwa unachukua mafao yako asilimia mia wewe ukakurupuka kuja kutetea watumishi kupunjwa mafao yao na ukapinga vikali kuwepo kwa fao la kujitoa kwa madai kuwa fao hilo linarudisha nyuma juhudi za Raisi kwenye Viwanda
Sasa leo kweupe umeumbuliwa na Raisi Magufuli, ifike mahali wabunge muache njaa na kujisahau, umeshashiba nnje una v8 kali na jumba la kifahari mixer shopping za Dubai, tayari ushasahau ulipotoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Kingu aendelee na umalaya wake wa kupora mademu za watu kama alivyompora Mc pilipili demu wake(Miss Shinyanga), huku atuachie wenyewe mawazo huru,tunatoa mawazo kwa uhuru na kujiamini kwa kujali maslahi mapana ya taifa. Hatuna unafiki wala njaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
We mpumbavu acha kutukana kabilaWanyiramba ni hopeless kabisa nimesoma nao they are best puppets! Mwigulu, Mkumbo just same species! Puppets tu
Saddest!Kaka yangu wakati wafanyakazi wanalia na kikokotoo wewe ulikuja na hoja zako za kutetea ugali wako. Rejea![]()
Kingu: Wabunge wa CCM tusiyumbishwe! - JamiiForums
Wakati wewe ukijua kuwa unachukua mafao yako asilimia mia wewe ukakurupuka kuja kutetea watumishi kupunjwa mafao yao na ukapinga vikali kuwepo kwa fao la kujitoa kwa madai kuwa fao hilo linarudisha nyuma juhudi za Raisi kwenye Viwanda
Sasa leo kweupe umeumbuliwa na Raisi Magufuli, ifike mahali wabunge muache njaa na kujisahau, umeshashiba nnje una v8 kali na jumba la kifahari mixer shopping za Dubai, tayari ushasahau ulipotoka.
Sent using Jamii Forums mobile app