Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,758
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akamatwe au ?
Takwimu zinakuwa kwenye vikaratasi vinavyochomolewa kwenye mfuko wa koti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akamatwe au ?
Takwimu zinakuwa kwenye vikaratasi vinavyochomolewa kwenye mfuko wa koti
MATAGA Mmechanganyikiwa Chato regime itawaumiza sana,Nimekua msikilizaji mzuri wa habari za DW ila huyu mwandishi wa habari amekua akituchafua kimataifa TANZANIA.
Leo kandaa makala iliyojaa uzushi na wongo mkubwa juuh ya mwenendo wa corona Tanzania,kahoji madakitari bahazi nakuja na hitimisho baya la kutuchafua kimataifa,mfano Kuna madakitari ambao wamezungumza wamekua wakijinunulia barakoa kwa kujichanga kwa vikundi hii SI mbaya ila yeye kagongelea msumari kua serikali kushindwa kusambaza vifaa vya kutisha Jambo ambalo si kweli,pia Kuna badhi ya wahojiwa wamediriki nao kutuchafua kwakusema wagonjwa Ni wengi hii haijakaa sawa kwani wanaopaswa kutoa tarifa Ni wizara ya afya SI vingine.
Rai yangu watanzania tupuzie huu uzushi wa mabeberu.na hawa wahojiwa vibaraka wachunguzwe
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Hakuna lolote la kumtuhumu nalo hapo bahati nzuri mwenyewe nimeisikia hiyo taarifa yake mchana saa Saba leo,Nimekua msikilizaji mzuri wa habari za DW ila huyu mwandishi wa habari amekua akituchafua kimataifa TANZANIA.
Leo kandaa makala iliyojaa uzushi na wongo mkubwa juuh ya mwenendo wa corona Tanzania,kahoji madakitari bahazi nakuja na hitimisho baya la kutuchafua kimataifa,mfano Kuna madakitari ambao wamezungumza wamekua wakijinunulia barakoa kwa kujichanga kwa vikundi hii SI mbaya ila yeye kagongelea msumari kua serikali kushindwa kusambaza vifaa vya kutisha Jambo ambalo si kweli,pia Kuna badhi ya wahojiwa wamediriki nao kutuchafua kwakusema wagonjwa Ni wengi hii haijakaa sawa kwani wanaopaswa kutoa tarifa Ni wizara ya afya SI vingine.
Rai yangu watanzania tupuzie huu uzushi wa mabeberu.na hawa wahojiwa vibaraka wachunguzwe
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Inachekesha na kusikitisha ni kama umempeleka mtoto shule kama Feza halafu ukimuuliza ripoti ya matokeo, anachomoa kikaratasi mfukoni anakutajia matokeo ya masomo machache "Kiswahili ilikuwa bado maksi kumi nipate A, Jiografia bado maksi nane nipate B lakini naendelea vizuri"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mkuu, mimi sikutishi chief ila nimeona una kipaji cha taarab ngoja waje member tukuchangie vifaa mkuu
The problem of Tanzania we don't stand as one nation! Kuna watu wanaiongelea vibaya nchi nje as if wao ni warundi!
Sent using Jamii Forums mobile app
The problem of Tanzania we don't stand as one nation! Kuna watu wanaiongelea vibaya nchi nje as if wao ni warundi!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji81][emoji81][emoji81] Mkuu inabidi tuwawajibishe hawa watu!Inachekesha na kusikitisha ni kama umempeleka mtoto shule kama Feza halafu ukimuuliza ripoti ya matokeo, anachomoa kikaratasi mfukoni anakutajia matokeo ya masomo machache "Kiswahili ilikuwa bado maksi kumi nipate A, Jiografia bado maksi nane nipate B lakini naendelea vizuri"
🤣🤣🤣hahaha ni muoga sana hiyo Bia yetuKwamba anakutisha ?? Richard Mobutu mzimu wake unaishi usishangae leo ukalala umesimama.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu katengeneza makala chochezi,na kuitoa Leo makusudi kwa matakwa yao mabeberu.Hakuna lolote la kumtuhumu nalo hapo bahati nzuri mwenyewe nimeisikia hiyo taarifa yake mchana saa Saba leo,
Nimekua msikilizaji mzuri wa habari za DW ila huyu mwandishi wa habari amekua akituchafua kimataifa TANZANIA.
Leo kandaa makala iliyojaa uzushi na wongo mkubwa juuh ya mwenendo wa corona Tanzania,kahoji madakitari bahazi nakuja na hitimisho baya la kutuchafua kimataifa,mfano Kuna madakitari ambao wamezungumza wamekua wakijinunulia barakoa kwa kujichanga kwa vikundi hii SI mbaya ila yeye kagongelea msumari kua serikali kushindwa kusambaza vifaa vya kutisha Jambo ambalo si kweli,pia Kuna badhi ya wahojiwa wamediriki nao kutuchafua kwakusema wagonjwa Ni wengi hii haijakaa sawa kwani wanaopaswa kutoa tarifa Ni wizara ya afya SI vingine.
Rai yangu watanzania tupuzie huu uzushi wa mabeberu.na hawa wahojiwa vibaraka wachunguzwe
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Inasikitisha Sana kwani wanapandikiza uchochezi kwa jamii,wanaona Tanzania inachanja mbuga wao wanavuta shati nyuma makusudi.Hao watu ni vibaraka Wa mabeberu walishakula kiapo
True. Kama ni kuichafua Serikali huyu kachangia zaidiTatizo huna akiri unafikiria kupitia matako ndio nyie mnaoitwa mashamba mkikamatwa banana mnakuja kutulilia humu ili tuuungane mnasahau kuwa mkimaliza huko hali ikitulia mnatutafuta kutukamata na kutufunga na kutuwekea madawa ya kulevya ya uongo na kutunyima dhamana na kuuuwa watanzania wasio na hatia kisa wamewakosoa, nimesema ushamba kwa sababu wewe umeipata hiyo habari mbaya unakuja kuisambaza hata sisi tuliokuwa hatujui ubaya wa serikali ambao hatukusikiliza hiyo radio tumeipata kupitia kwako, tumieni akiri nyie ushamba unawagarim, ukisikia habari ukikaaa kimya inakwisha kimya kimya Lakini kutokana na ushamba wenu mnaisambaza Kama walivyofanya kwa idrisa kila mtu ameiona ile Picha hadi Vijijini kutokana na idrisa kukamatwa msingemkamata magufuli hangedharirika kwa watu wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliohojiwa ni wazungu?Nawe hukuwasikia Raisi na Waziri Mkuu wakitoa taarifa ya ugonjwa ?? Tatizo hutakikuwaamini unawaamini Wanzungu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Raisi wetu kipenzi anasema msema kweli ni mpenzi wa Mungu, tusimame pamoja katika kutenda mema ila sio katika kusema uongo au kuhadaa watu.The problem of Tanzania we don't stand as one nation! Kuna watu wanaiongelea vibaya nchi nje as if wao ni warundi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini mkuu?Ulianza vizuri ila ulivyomalizia ndio umeharibu kila kitu[emoji855]
Kivipi?upinzani kwa kashifa na kejeli hapana kwa kweli.Anayeichafua Tanzania ni Magufuli na vituko vyake. Sio DW.
Huwezi kukichafua kitu ambacho ni kichafu tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app