Elizabeth wa DW anatuchafua kimataifa

Elizabeth wa DW anatuchafua kimataifa

Dr hyperkid

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2019
Posts
13,740
Reaction score
27,104
Nimekua msikilizaji mzuri wa habari za DW ila huyu mwandishi wa habari amekua akituchafua kimataifa TANZANIA.

Leo kandaa makala iliyojaa uzushi na wongo mkubwa juuh ya mwenendo wa corona Tanzania,kahoji madakitari baadhi nakuja na hitimisho baya la kutuchafua kimataifa,mfano Kuna madakitari ambao wamezungumza wamekua wakijinunulia barakoa kwa kujichanga kwa vikundi hii SI mbaya ila yeye kagongelea msumari kua serikali kushindwa kusambaza vifaa vya kutisha Jambo ambalo si kweli,pia Kuna badhi ya wahojiwa wamediriki nao kutuchafua kwakusema wagonjwa Ni wengi hii haijakaa sawa kwani wanaopaswa kutoa tarifa Ni wizara ya afya SI vingine.

Rai yangu watanzania tupuzie huu uzushi wa mabeberu.na hawa wahojiwa vibaraka wachunguzwe

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Wewe ndiyo unapaswa kupuuzwa! Unavyopinga kuwa wagonjwa siyo wengi umejuaje wakati serekali haitoi takwimu? Unavyotetea kuwa serekali imetoa vifaa vya kutosha unaweza kuthibitisha hilo? Yeye kaongea na madaktari ambao ndiyo wako mstari wa mbele katika kuhudumia wagonjwa, wewe ulitaka aongee na serekali ambayo iko busy kuficha takwimu?Usifikiri kila Mtanzania ni mpuuzi na mbumbumbu!
 
Nimekua msikilizaji mzuri wa habari za DW ila huyu mwandishi wa habari amekua akituchafua kimataifa TANZANIA.

Leo kandaa makala iliyojaa uzushi na wongo mkubwa juuh ya mwenendo wa corona Tanzania,kahoji madakitari bahadhi nakuja na hutimisho baya la kutuchafua kimataifa,mfano Kuna madakitari ambao wamezungumza wamekua wakijinunulia barakoa kwa kujichanga kwa vikundi hii SI mbaya ila yeye kagongelea msumari kua serikali hajatoa vifaa vya kutisha Jambo ambalo si kweli,pia Kuna badhi ya wayojiwa wamediriki nao kutuchafua kwakusema waginjwa Ni wengi hii haijakaa sawa kwani wanaopaswa kutoa tarifa Ni wizara ya afya SI vingine.

Rai yangu watanzania tupuze huu uzushi wa mabebere.na hawa wahojiwaji wachunguzwe

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Tatizo huna akiri unafikiria kupitia matako ndio nyie mnaoitwa mashamba mkikamatwa banana mnakuja kutulilia humu ili tuuungane mnasahau kuwa mkimaliza huko hali ikitulia mnatutafuta kutukamata na kutufunga na kutuwekea madawa ya kulevya ya uongo na kutunyima dhamana na kuuuwa watanzania wasio na hatia kisa wamewakosoa, nimesema ushamba kwa sababu wewe umeipata hiyo habari mbaya unakuja kuisambaza hata sisi tuliokuwa hatujui ubaya wa serikali ambao hatukusikiliza hiyo radio tumeipata kupitia kwako, tumieni akiri nyie ushamba unawagarim, ukisikia habari ukikaaa kimya inakwisha kimya kimya Lakini kutokana na ushamba wenu mnaisambaza Kama walivyofanya kwa idrisa kila mtu ameiona ile Picha hadi Vijijini kutokana na idrisa kukamatwa msingemkamata magufuli hangedharirika kwa watu wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndiyo unapaswa kupuuzwa! Unavyopinga kuwa wagonjwa siyo wengi umejuaje wakati serekali haitoi takwimu? Unavyotetea kuwa serekali imetoa vifaa vya kutosha unaweza kuthibitisha hilo? Yeye kaongea na madaktari ambao ndiyo wako mstari wa mbele katika kuhudumia wagonjwa, wewe ulitaka aongee na serekali ambayo iko busy kuficha takwimu?Usifikiri kila Mtanzania ni mpuuzi na mbumbumbu!
Nawe hukuwasikia Raisi na Waziri Mkuu wakitoa taarifa ya ugonjwa ?? Tatizo hutakikuwaamini unawaamini Wanzungu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukajifunze kusoma na kuandika then urudi kuja kumtetea bwanako vizuri
Nimekua msikilizaji mzuri wa habari za DW ila huyu mwandishi wa habari amekua akituchafua kimataifa TANZANIA.

Leo kandaa makala iliyojaa uzushi na wongo mkubwa juuh ya mwenendo wa corona Tanzania,kahoji madakitari bahadhi nakuja na hutimisho baya la kutuchafua kimataifa,mfano Kuna madakitari ambao wamezungumza wamekua wakijinunulia barakoa kwa kujichanga kwa vikundi hii SI mbaya ila yeye kagongelea msumari kua serikali hajatoa vifaa vya kutisha Jambo ambalo si kweli,pia Kuna badhi ya wayojiwa wamediriki nao kutuchafua kwakusema waginjwa Ni wengi hii haijakaa sawa kwani wanaopaswa kutoa tarifa Ni wizara ya afya SI vingine.

Rai yangu watanzania tupuze huu uzushi wa mabebere.na hawa wahojiwaji wachunguzwe

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekua msikilizaji mzuri wa habari za DW ila huyu mwandishi wa habari amekua akituchafua kimataifa TANZANIA.

Leo kandaa makala iliyojaa uzushi na wongo mkubwa juuh ya mwenendo wa corona Tanzania,kahoji madakitari bahadhi nakuja na hutimisho baya la kutuchafua kimataifa,mfano Kuna madakitari ambao wamezungumza wamekua wakijinunulia barakoa kwa kujichanga kwa vikundi hii SI mbaya ila yeye kagongelea msumari kua serikali hajatoa vifaa vya kutisha Jambo ambalo si kweli,pia Kuna badhi ya wayojiwa wamediriki nao kutuchafua kwakusema waginjwa Ni wengi hii haijakaa sawa kwani wanaopaswa kutoa tarifa Ni wizara ya afya SI vingine.

Rai yangu watanzania tupuze huu uzushi wa mabebere.na hawa wahojiwaji wachunguzwe

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Na wale watumishi wa afya Monduli waliolalamika kwenye TV kuhusu hilo, nao wanatuchafua kimataifa?
 
Back
Top Bottom