DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mtwara Mashauri Elisante amesema kipindi hiki cha kampeni wamejipanga kuelimisha wananchi kuhudhuria mikutano ya kampeni kusikiliza sera na kuchagua kiongozi wanayeweza kushirikiana naye kuleta maendeleo na siyo kuchagua kiongozi anayejihusisha na rushwa.
Elisante amesema kwa kuzingatia kanuni za maadili ya Sheria ya Uchaguzi zimeweka wazi vitu vinavyokatazwa na vinavyokubalika kutoa kwenye kampeni,Elisante ameyasema haya Leo Mkoani Mtwara alipozungumza na Joseline Kitakwa kutoka Bongo Fm Digital.
Pia Soma
Elisante amesema kwa kuzingatia kanuni za maadili ya Sheria ya Uchaguzi zimeweka wazi vitu vinavyokatazwa na vinavyokubalika kutoa kwenye kampeni,Elisante ameyasema haya Leo Mkoani Mtwara alipozungumza na Joseline Kitakwa kutoka Bongo Fm Digital.
Pia Soma
- Zawadi zinazotolewa na wanasiasa wakati wa Uchaguzi ni Rushwa? Wananchi wanatofautishaje?
- Je, wagombea Kujinadi Kwa Vyakula na Vinywaji Ni Rushwa au Huduma?