hivi ikitokea Lowasa akashnda hii elimu ya bure itahusisha wanafunzi wote wa vyuo vya serikali na private au watakaonufaika ni wa vyuo vya serikali tu
Lowassa ndie Rais..kwisha.
1.3 Trilioni zinatosha kusomesha nchi nzima kuanzia vidudu mpaka chuo kikuu..
Chezea Masai wewe.
yaani mm nawaza nisilipe ada mapema nisikilize tamko siku ya kuapishwa kwake ili nijui hiyo elim bure tunaanza mwaka huu au mwakani...nisije nikalipa nikawapa kazi ya kunirudishia