Elimu ya O-level ni ngumu sana..

Elimu ya O-level ni ngumu sana..

O'level ni maji, Advance ni Uji na chuo ni soda..!
 
Kwanza nianze kwa kuwapa pole wanafunzi wa form four, walio kwenye mithiani na wanaoemdelea mitihani. Hivi jamani elimu ya miaka minne unapimwa kwa masaa matatu!!! Kweli elimu hii ni ngumu.

Mimi naona bora ingekua kama elimu ya high education, unatahiniwa kwa mada husika na muda husika ...so unalimbikiza miaka yote hiyo alafu mtu ujitutumue kwa masaa matatu...au nyie mna mawazo gani kuhusu hili?
Huna akili.O level ins ugumu gani ?
 
O - level ni rahisi sana kama kumsukuma mlevi sema CHAPUTA ndio inawaharibu vijana wa siku hizi za mwisho hadi mnaona pagumu
 
Back
Top Bottom