akhilly
Member
- Nov 3, 2017
- 43
- 34
Kwanza nianze kwa kuwapa pole wanafunzi wa form four, walio kwenye mithiani na wanaoemdelea mitihani. Hivi jamani elimu ya miaka minne unapimwa kwa masaa matatu!!! Kweli elimu hii ni ngumu.
Mimi naona bora ingekua kama elimu ya high education, unatahiniwa kwa mada husika na muda husika ...so unalimbikiza miaka yote hiyo alafu mtu ujitutumue kwa masaa matatu...au nyie mna mawazo gani kuhusu hili?
Mimi naona bora ingekua kama elimu ya high education, unatahiniwa kwa mada husika na muda husika ...so unalimbikiza miaka yote hiyo alafu mtu ujitutumue kwa masaa matatu...au nyie mna mawazo gani kuhusu hili?