Ccm aliekua na akili ni Nyerere tu na Lowassa baada ya Lowassa, baada ya Lowassa kuhama kule ccm imebakia genge la vilaza wa karne hii kina makongoro nyerere ambao ndio vilaza wakubwa karne ya 21 cha ajabu ndio think tank ya ccm.
Angalia masaburi,job ndugai, angalia kibajaji,angalia mihogo aliemaliza form for 4 akaenda kusoma phd ya kanisa bila bachelor wala masters.
Ccm ni kusanyiko la vilaza wa karne.