Elimu sio akili

Elimu sio akili

card78

Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
49
Reaction score
48
Habari wana jukwaa naamini mko poa🤔
Nimpongeze sana Mh Raisi na wasaidizi wake ngazi zote katika kujenga nchi yetu🇹🇿

Kauli ya Waziri wa elimu juu ya mustakabali wa ajira za walimu zitakavyokuwa imenifanya niwaze mambo mengi sana
1)Kudharauliwa kwa kada ya ualimu ikiwa kivuli cha kuboresha kinatumika
2)Hitimisho katika mafunzo ngazi ya ualimu inaonekana yana mapungufu
3)Mtihani kwa Mwl kama kigezo cha ajira sio kipimo cha utendaji kazin
4)Sera ya elimu toleo la 2023, na maamuzi haviendani
5)Vigezo vilivyotumika kudahili walimu ili wapate mafunzo yamefanyiwa maboresho sana, sasa ikiwa kuna hitilafu irekebishwe mapema lakin sii had mtu ahitimu
6)Mtihani kabla ya ajira n moja ya mkanganyiko haswa kufungulia rushwa zaid ya matokeo,, sahili za oral na written za kada nyingine zinatoa taswira ilivyo
7)Kigezo cha mtihani kimelenga nn? Kuongeza rapsharapsha katika ajira au kuonyesha ualimu sio kitu cha kuchezea katika maandishi🤔
Mh waziri wa elimu kwa hili hakuna utatuz bali changamoto juu ya changamoto, maana sera ilivyo na haya maamuzi haviendani kabisa😭

Dunia ina changamoto ya ajira, ila sio Tanzania
 
Habari wana jukwaa naamini mko poa🤔
Nimpongeze sana Mh Raisi na wasaidizi wake ngazi zote katika kujenga nchi yetu🇹🇿

Kauli ya Waziri wa elimu juu ya mustakabali wa ajira za walimu zitakavyokuwa imenifanya niwaze mambo mengi sana
1)Kudharauliwa kwa kada ya ualimu ikiwa kivuli cha kuboresha kinatumika
2)Hitimisho katika mafunzo ngazi ya ualimu inaonekana yana mapungufu
3)Mtihani kwa Mwl kama kigezo cha ajira sio kipimo cha utendaji kazin
4)Sera ya elimu toleo la 2023, na maamuzi haviendani
5)Vigezo vilivyotumika kudahili walimu ili wapate mafunzo yamefanyiwa maboresho sana, sasa ikiwa kuna hitilafu irekebishwe mapema lakin sii had mtu ahitimu
6)Mtihani kabla ya ajira n moja ya mkanganyiko haswa kufungulia rushwa zaid ya matokeo,, sahili za oral na written za kada nyingine zinatoa taswira ilivyo
7)Kigezo cha mtihani kimelenga nn? Kuongeza rapsharapsha katika ajira au kuonyesha ualimu sio kitu cha kuchezea katika maandishi🤔
Mh waziri wa elimu kwa hili hakuna utatuz bali changamoto juu ya changamoto, maana sera ilivyo na haya maamuzi haviendani kabisa😭

Dunia ina changamoto ya ajira, ila sio Tanzania
@Mpwayunguvillage
 
Habari wana jukwaa naamini mko poa
Nimpongeze sana Mh Raisi na wasaidizi wake ngazi zote katika kujenga nchi yetu

Kauli ya Waziri wa elimu juu ya mustakabali wa ajira za walimu zitakavyokuwa imenifanya niwaze mambo mengi sana
1)Kudharauliwa kwa kada ya ualimu ikiwa kivuli cha kuboresha kinatumika
2)Hitimisho katika mafunzo ngazi ya ualimu inaonekana yana mapungufu
3)Mtihani kwa Mwl kama kigezo cha ajira sio kipimo cha utendaji kazin
4)Sera ya elimu toleo la 2023, na maamuzi haviendani
5)Vigezo vilivyotumika kudahili walimu ili wapate mafunzo yamefanyiwa maboresho sana, sasa ikiwa kuna hitilafu irekebishwe mapema lakin sii had mtu ahitimu
6)Mtihani kabla ya ajira n moja ya mkanganyiko haswa kufungulia rushwa zaid ya matokeo,, sahili za oral na written za kada nyingine zinatoa taswira ilivyo
7)Kigezo cha mtihani kimelenga nn? Kuongeza rapsharapsha katika ajira au kuonyesha ualimu sio kitu cha kuchezea katika maandishi
Mh waziri wa elimu kwa hili hakuna utatuz bali changamoto juu ya changamoto, maana sera ilivyo na haya maamuzi haviendani kabisa

Dunia ina changamoto ya ajira, ila sio Tanzania
Wafanye watoe Mtihani ili kutoa leseni
 
Mimi sipo kisiasa wala kiserikali ila uko sahihi elimu na akili ni vitu tofauti.

1. Akili (intelligence) ia natural ability to receive, processs and store information (elimu).

Elimu (education) is total of knowledge, skills and attitude.

We use intelligence to acquire education.

Kuhusu suala la walimu, nawaachia wengine
 
Back
Top Bottom