mzee jongo
Member
- Sep 29, 2016
- 20
- 1
Ndugu zangu,
Haijalishi umesoma kiasi gani lakini mafanikio katika maisha ni vile wewe mwenyewe unanidhamu kiasi gani maana kuna watu wengi waliofanikiwa na hawajapitia au hawakua wakifanya vizuri zaidi katika masomo yao.
Mfano mkubwa Bill Gates anasema mwenyewe kuwa anawaajili watu waliokua wakimzd kimasomo katika kampuni yake ya Microsoft na mfano mdg darasani kwetu <UDSM> aliekua ki.laza naye akijijua ndiye aliekua wa kwanza kupata kazi na kazi yenye mshahara mkubwa huko UN.
Au nyie mtazamo wenu ni upi?
Haijalishi umesoma kiasi gani lakini mafanikio katika maisha ni vile wewe mwenyewe unanidhamu kiasi gani maana kuna watu wengi waliofanikiwa na hawajapitia au hawakua wakifanya vizuri zaidi katika masomo yao.
Mfano mkubwa Bill Gates anasema mwenyewe kuwa anawaajili watu waliokua wakimzd kimasomo katika kampuni yake ya Microsoft na mfano mdg darasani kwetu <UDSM> aliekua ki.laza naye akijijua ndiye aliekua wa kwanza kupata kazi na kazi yenye mshahara mkubwa huko UN.
Au nyie mtazamo wenu ni upi?