kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 326
Hivi hawa ndugu zetu wa mtwara hata wakipewa au hiyo mitambo itawasaidia nini ikiwa hadi leo hii karne ya 21 bado wanaamini ungo na uchawi. Hawafanyikazi wanasubiri gas. Sasa kuchoma moto mahakama na nyumba ya mbunge maana yake nini. Au ndio maendeleo wanayotaka. Hawa watu sidhani hata kama wana dini.mwishowe nasema hata hiyo mitambo au gas haitawasaidia chochote