Elimu kuhusu kufungua Tigopesa & M-Pesa

Elimu kuhusu kufungua Tigopesa & M-Pesa

nyantuzu

Member
Joined
Oct 1, 2014
Posts
87
Reaction score
24
Habari zenu wana jamvi, naomba mwenye uelewa au anaefanya hii biashara ya tigo pesa na m-pesa anipe mwongozo kidogo. Kuhusiana na Commission inakuwa kiasi gani, mtaji kwa kuanzia tigo pesa ni kiasi gani na taratibu za kupata line inakuwaje? Natanguliza shukrani.
 
Habari zenu wana jamvi, naomba mwenye uelewa au anaefanya hii biashara ya tigo pesa na m-pesa anipe mwongozo kidogo. Kuhusiana na Commission inakuwa kiasi gani, mtaji kwa kuanzia tigo pesa ni kiasi gani na taratibu za kupata line inakuwaje? Natanguliza shukrani.

Tafuta Till zote za m pesa, tg pesa na airtel money, plc 4 busnes na capital wll b over, iam de one whom run It
 
Back
Top Bottom