Elimu jinsi ya kupost

Elimu jinsi ya kupost

Watu wengine wanalalamika juu ya kushindwa kupost kitu humu so ingekua vizur tungepata japo kaelimu kidogo
kwenye kila jukwa kuna hii USEFUL THREAD imewekwa kwa mwanachama mpya ningeshauri awe anaipitia
https://www.jamiiforums.com/habari-...5-you-must-read-this-tafadhali-soma-hapa.html
ambayo ndani yake kuna hii kitu ...



https://www.jamiiforums.com/habari-...10851-how-to-use-jamiiforums-effectively.html
HIVI MUHIMU wanachama wengi wanajiunga bila kuvisoma..
 
Back
Top Bottom