Elimu Bure Vyuo Vikuu, Lowasa kalenga mbali

Aiseee yaani billions zipatekane watu kugawana ila elimu haiwezekani.????

Mkataba wa Richmond unatugharimu mil 150 kwa siku. Mhuskika wa Richmond ndo huyo mnantaka. Aliye lazimisha mkataba wa buzwagi ukasainiwa hotelin uingereza ndo huyo mnamtaka halafu mnaimba mabadiliko, zimewatimia kweli?
 
Mkataba wa Richmond unatugharimu mil 150 kwa siku. Mhuskika wa Richmond ndo huyo mnantaka. Aliye lazimisha mkataba wa buzwagi ukasainiwa hotelin uingereza ndo huyo mnamtaka halafu mnaimba mabadiliko, zimewatimia kweli?

Ndio maana halisi ya mabadiliko.nyie mlidandia hiyo kauli mbiu mkagundua kwenu inaleta ukakasi.maana ccm ni ile ile.
 
Ukisoma mabandiko ya wadau utagundua serikali ya ccm iliwahi kutoa elimu bure hadi chuo kikuu. Mzee mtei wa cdm ni mmoja wa watu waliochangia serikali iachane na elimu bure kwa kushnikiza masharti ya IMF na WB. Kwa hiyo cdm hawana moral authority kuadvocate elimu bure.
Hayo madhambi uliyoyataja nitajie hata mojawapo ambao halimgusi rafiki wa lowasa/ wanamtandao aliounzisha lowasa au lowasa mwenyewe? Mpaka hapo naye hana moral authority kupambana na ufisadi.
Niseme nini tena uamini kuwa alipo edo, pia yupo rostam,chenge,et al.?
 
Tanzania bila CCM inawezekana na Vyuo vikuu bila mikopo inawezekana.Ukipunguza Safari za Mkulu kwenda Ulaya kwa asilimia 60 tu unalipa ada na mazagazaga yooote. Hapo bado hujawabana wakina Ridhwani na marafikize wakwepa kodi mashuhuli..Lowassa ni kama gogo la choo!!
 
Mkataba wa Richmond unatugharimu mil 150 kwa siku. Mhuskika wa Richmond ndo huyo mnantaka. Aliye lazimisha mkataba wa buzwagi ukasainiwa hotelin uingereza ndo huyo mnamtaka halafu mnaimba mabadiliko, zimewatimia kweli?

hapana, ziko nusu.
 
Mkataba wa Richmond unatugharimu mil 150 kwa siku. Mhuskika wa Richmond ndo huyo mnantaka. Aliye lazimisha mkataba wa buzwagi ukasainiwa hotelin uingereza ndo huyo mnamtaka halafu mnaimba mabadiliko, zimewatimia kweli?

hapana, zingine zimelegea.
 
Yawezekana piakwa maoni yako lakin wenye maono ya mbali wanajua fedha ziliko ndiyo hizo wanachezea kwakutupatupa nakutafuta namna yoyote ya kuhujumu uchaguzi na safari zisizo za lazima il mardi héla imetumika.
 
loanboard ni serekali pia, na mkopo unaotolewa ni pesa ya serekali pia so kutolewa bure inawezekana, jamani ifike mahali tuwaze utajiri wa rasilimali na huduma tunazopatiwa kwa takwimu fupi tu mlima kilimanjaro mapato yake kwa mwaka yakizibitiwa yanatosha kugharamia wizara elimu ya Tanzania na kubakiwa na salio
 
Unajua maana ya kusema elimu bure mpaka level flani? Kwa taarifa yako, unapoifanya elimu ya chuo kikuu bure technically inakuwa ndo elementary education. Unaposema elimu bure mpaka chuo kikuu maana yake ni elimu ya msingi,sekondari, vyuo vya kati vinavyomwezesha mtu kujiunga na chuo kikuu, na hatimaye elimu ya chuo kikuu yenyewe...
Ili kufikia hapo umetaja mlolongo wa mambo ambayo lazima yafanyike ndipo tuipate. Nikupe hadhi ya kusemea mipango ya mgombea wako, nipanganie time schedule ya utekelezaji wa mambo yatakavyo tupeleka kuwa na elimu bure hadi chuo kikuu.
 
Km serikali ni makini elimu bure inawezakana coz garama haikuvuka trln 1 kwa mwaka
 

Hiyo ya mlima Kilimanjaro kugharimikia elimu ni ngumu maana utalii ni biashara isiyotabirika, pia bajeti ya elimu kwa viwango vya kimataifa inabidi above 20% ya bajeti yote ya serikali. Mlima Kilimanjaro hauna mapato hayo. Tusinunulike kwa ahadi nyepesi, hapa 2015 to 2020 twende na elimu bure secondary, huku tukiandaa mipango ya elimu bure kwa degree za vipaumbele ili kuanzia 2020 ndo tuzianzishie hizo.
 
Yawezekana piakwa maoni yako lakin wenye maono ya mbali wanajua fedha ziliko ndiyo hizo wanachezea kwakutupatupa nakutafuta namna yoyote ya kuhujumu uchaguzi na safari zisizo za lazima il mardi héla imetumika.
Unajua kuwa familia ya lowasa inachunguzwa na serikali ya uingereza kwa money laundery?
 
Tusibishane wakati calculation zipo garama ya kumsomesha mwanafunzi mmoja miaka mitatu haizidi 10m
 

Huwezi ukakwepa safari za nje za rais maana zipo pia za matibabu.
 
Tusibishane wakati calculation zipo garama ya kumsomesha mwanafunzi mmoja miaka mitatu haizidi 10m
Level ipi? Msingi, sekondari, vyuo vya kati, Undergraduate au postgraduate? Soma mabandiko yangu kuhusu maana ya elimu bure mpaka level flani..
 
Mchague Lowassa kwanza ndo utajua nini kitaondolewa... acho kujiuliza na kujijibu mwenyewe kiufinyu wa mawazo yako
 
Ndio maana halisi ya mabadiliko.nyie mlidandia hiyo kauli mbiu mkagundua kwenu inaleta ukakasi.maana ccm ni ile ile.

Mneamua kumpa mbu kazi ya kutibu malaria bila kujua kuwa kitendo cha kuwang'ata ni tiba kwake ya malaria hiyo hiyo anayowaambukiza nyie. Akiacha kung'ata anakufa yeye..!
 
Mchague Lowassa kwanza ndo utajua nini kitaondolewa... acho kujiuliza na kujijibu mwenyewe kiufinyu wa mawazo yako

Mimi si mtu wa level ya ahadi hewa. Wakati wa uchaguzi ni wakati wa kuahidiwa. Kwa mpiga kura makini lazima azichuje ahadi za wagombea kabla ya kuamua kura ampe nani. Tuache ushabiki lowasa hana mipango ya kufanikisha elimu bure hata kwa level ya chekechea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…