Elewa neno alilotumia Rais Samia "Kiumbe"

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
Kwa wanazuoni na wajuzi wa mambo huwa tunasoma mstari kwa mstari katika kila tamko la kiongozi.

Mhe.Rais Samia ametumia neno moja muhimu sana kwenye mojawapo ya speech yake.

"Hakuna kiumbe atakayeruhusiwa kuichezea amani ya Tanzania kwani ameapa kuilinda Tanzania"

Ewe mwanaJF, Mtanzania, Msomaji au yoyote yule unaelewa maana ya neno "Kiumbe"?

Nikitafsiri kidogo tu kutoka kamusi za walami.

something created either animate or inanimate: such as
a
: a lower animal
especially : a farm animal
b
: a human being
c
: a being of anomalous or uncertain aspect or nature

Yaani kilichoumbwa iwe ni mnyama au la au tunachofikiri kina uhai au hata kisicho kawaida tu.

Hivyo basi statement ya mhe.Rais ni extra terrestrial statement inayotakiwa kutiliwa maanani na sio kukurupukiwa na wahuni pengine wanaojidai ni maaskofu.

Rais Samia amedhihirisha utayari wa kuilinda na kuisimamia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa namna yoyote ile ikiwemo "viumbe " hatarishi dhidi yetu.na hili ndilo lililomfanya kuwa Rais wa Tanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Kiumbe = kitu kilichoumbwa na Mungu wakiwemo wanyama, wanadamu, malaika etc. sasa tujue ana maana ya kiumbe gani kati ya hivyo etc
 
Chief Kiumbe ...Watu wake wake Mfumo.
Feli Q-test ufukuzwe kazi lakini sio ufaulu uje kupinga maelekezo ya wezi.
 
Kuna vijana wa ovyo sana Kenya ila sijawahi ona rais wao akiwaita

viumbe au jina lenye muktadha wa kwamba hawana maana bali usema wakenya......

Hakika samia haitajiki tena Tanganyika
 
Samia akiwa anamchamba MTU mwenye Elimu kubwa alafu Mtanzania alafu ana Maisha yake ya juu hutumia neno 'Jitu'.


Akiwa anachamba Mtanzania asiye na kazi, hoe hoe, au Mtu asiyekua Mtanzania hutumia Maneno ya 'Kudogosha'.



Kwa mfano, Gwajima, huwez Kuta Samia anamtaja Gwajima 'Kiumbe'.
 
Mingine ni misemo iliyo zoeleka tu huko tuliko kulia.
 
Hakika ni laana kuongozwa na mwanamke
 
Mpaka sasa bado hamjatengua hoja za Gwajima.
 
Mnakuza mambo sana tofauti na uhalisia kabisa.
 
kaka kwani usichoelewa nini?
 
Mimi hupenda kutumia tungo tata, mfano akili za mbayuwayu changaya na zakwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…