Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,670
- 13,150
Kuna mada ameanzisha huko 'unawakumbuka hawa'Hiyo No. 17, subiri Mzee Mohammed Said akushukie.
Tumemjibu Tunawakumbuka kwa hiyo! Hahahhh nasubiri mahubiri bin masimango
Kuna mada ameanzisha huko 'unawakumbuka hawa'Hiyo No. 17, subiri Mzee Mohammed Said akushukie.
Ni kweli aliweka maslahi ya taifa mbele. Huyu wa sasa ameyaweka maslahi mbereKama binadamu wengine tulivyo, alikua na mapungufu yake. Lakini atakumbukwa daima kwa kuweka maslahi ya nchi mbele kuliko yake binafsi.
Ameacha alama kwamba aliwahi kuishi duniani. Najiuliza kila mara, siku nikimaliza safari yangu hapa duniani, ntakumbukwa kwa lipi?