a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,968
- 2,204
well saidmambo ya kutumia akili ili mwanamke akuelewe wakati wa siku ya mwisho atakuacha sio kabisa,kinachomfanya mwanaume kutumia mipango mingi kumpata mwanamke ni akili ya utamu kwanza halafu mengine huwa yanafuata baadae sasa muwe makini mnavyoanza mawindo je unampenda kwasababu ya kiburudisho au akuzalie watoto mjenge familia itakayo kuwa na furaha?, mimi naamini mwanamke kama ni wako atakua wako tu hutatumia nguvu,yani sumaku huvuta chuma
1.dont fall in love but stand in love(penda kwa kutumia akili sio kwa moyo/hisia)
2.use your mind instead of your feeling(tumia akili usipelekeshwe na nyege)
3.oa mwanamke anayekupenda wewe kama ulivyo..uanaume wako tu wewe mwenyewe akikuona tu anashiba .
5.usitumie NGUVU nyingi kubembelea kushikilia penzi(USILAZIMISHE KUPENDWA)
.usimsujudie mwananmke ,akuhurumie kukupenda yani kama anakusaidie ...usimsujudie usimuabudu mwanamke ili akupende
6.oa mwanamke ambaye hayupo tayari kukupoteza anayetambua thamani yako wewe kama mwanaume uanaume wako
7.USILILIE MAPENZI...ni aibu mwanaume kusema hawezi kuishi bila huyo...usimbembeleze ..asikupande kichwani...usionyeshe udhaifu,usikiri udhaifu...usimuabudu...akitaka kwenda MUACHE AENDE...amekupunguzia matatizo huko mbeleni....
ukiruhisu nyege hisia zitawale badala ya akili itawale ,..utakuwa mwanaume dhaifu sana ..utamlamba miguu mwanamke atakutawala ..tena..atakudharau sana.