Elevation

well said
1.dont fall in love but stand in love(penda kwa kutumia akili sio kwa moyo/hisia)
2.use your mind instead of your feeling(tumia akili usipelekeshwe na nyege)
3.oa mwanamke anayekupenda wewe kama ulivyo..uanaume wako tu wewe mwenyewe akikuona tu anashiba .
5.usitumie NGUVU nyingi kubembelea kushikilia penzi(USILAZIMISHE KUPENDWA)
.usimsujudie mwananmke ,akuhurumie kukupenda yani kama anakusaidie ...usimsujudie usimuabudu mwanamke ili akupende
6.oa mwanamke ambaye hayupo tayari kukupoteza anayetambua thamani yako wewe kama mwanaume uanaume wako
7.USILILIE MAPENZI...ni aibu mwanaume kusema hawezi kuishi bila huyo...usimbembeleze ..asikupande kichwani...usionyeshe udhaifu,usikiri udhaifu...usimuabudu...akitaka kwenda MUACHE AENDE...amekupunguzia matatizo huko mbeleni....

ukiruhisu nyege hisia zitawale badala ya akili itawale ,..utakuwa mwanaume dhaifu sana ..utamlamba miguu mwanamke atakutawala ..tena..atakudharau sana.
 

Attachments

  • 1_nu99ld4ANY7xBKPUfhuekw.jpg
    41.1 KB · Views: 4
 

Attachments

  • Screenshot_20260221-161550.jpg
    98.5 KB · Views: 2
umeongea ukweli mtupu mkuu
 
It’s valid.. Sababu mwanamke usipokuwa elevated na mwanaume jua kwenye hilo game wewe umelost!
That's means gender equality is a senseless movement. How can women demand elevation from their equals.!

From gender equality point of view, for a man to elavate a woman is an abuse. Because as a man, doing so you are indirectly saying women are weak or less and they need a saviour.
 
elevation=upgrade/upgrading

so mwanamke anayekupenda kwa moyo wake wote hata demand much from you zaidi ya uanaume wako..aitwe kwa jina lako..aitwe yours awe wako nawe wake..

ndio elevation= upgrade kubwa atakayoitaka kwako ,nyingine ziada..

aitwe Mrs wako..your wife ..uwe baba wa watoto wake...


sio unakuwa una mwanamke anakwambia..

una bahati sana ,kwanza hata sijui ulinipataje..yani sijui ilikuwaje ukazaa na mimi..yani siku iyo sijui nilikumbwa na nini ..mpaka nikakubali...wewe?

ukiniona wa nini..wenzio wanajiuliza watanipata lini?

n.k
 
Jana Yoda ameshinda akikuelezea maana ya gender equality, leo unakuja na hii.

Hii abuse mbona umeitunga mpya? Kwenye forms of abuse elevation haipo.
 
Jana Yoda ameshinda akikuelezea maana ya gender equality, leo unakuja na hii.

Hii abuse mbona umeitunga mpya? Kwenye forms of abuse elevation haipo.
Kama unataka elevation kutoka kwa mwanaume hauoni kama ilo hitaji linajipinga na movement ya usawa wa kijisnia ambayo inasema mwanaume na mwanamke wapo sawa?

Kimantiki hauwezi ukaweka takwa la kuinuliwa na mtu ambae ushasema upo sawa nae. Ukihitaji kuinuliwa na mtu maana yake ushaona kwamba huyo mtu yupo juu yako.

Umeelewa hapo jinsi nadharia yenu ya usawa wa kijisnia inavyojipinga yenyewe?
 
Kapeace Bushmamy , sisi tuvute tu bobo la popcorn bwashee View attachment 3546844
Majibu yenu yapo kwenye biblia, someni yakobo alivyompata mkewe, Adam mwenyewe alichomolewa mbavu, someni kisa cha Esther na mfalme wake, wanawake wote wazuri waliotajwa kwenye biblia hawakuolewa na kajamba nani, bikira Maria nae alitamkiwa baraka kuliko wanawake wote duniani,

Tafuteni kwa jasho nanyi hamtapungukiwa na kitu
 
Ngoja nijikite kwenye utafutaji tu nitaoa nikiwa na 60+😁
 
Vyovyote lazima u-compasate muda wa mwanamke, na yeye afanye hivyo hivyo… it’s all about this!

Mi sizungumzii mengine, nazungumzia mahusiano na ndoa.
Hiyo compensation ni reciprocal? yaani hela kwa hela, kikojolea kwa kikojolea au ndio ule ujanja janja wenu wa kutaka mwanaume aweke hela halafu nyie muweke maombi.

Wanawake huwa mnataka mwanaume aje kwenye mahusiano na tangiable value kama hela, assets, stability n.k, mkiulizwa nyie mnaleta nini mezani mnataja intangible values kama sala, ushauri, peace of mind n.k

Hapo sasa linaibuka swali. Mwanaume ambae ameshasimama kiuchumi anahitaji sala au muongozo wa mwanamke?
 
HUU UZI UTUNZE NA WANAUME KWA WIVU MKUBWA SANA.

If a women love with calculated steps, we too should do the same: if
no connection, leave her.
no money, leave her.
no idea, leave her.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…