Firefox
Senior Member
- May 10, 2011
- 127
- 71
COSEKE Tanzania Limited inahitaji Hardware Technician mwenye uwezo wa kurepair na ku troubleshoot vifaa mbalimbali kama Computers, Servers, Scanners etc.
Vigezo:
-Awe na umri usiozidi miaka 30.
-Awe amehitimu mafunzo ya Electronics/Full technician Certificate/Hardware Repair and Maintenance katika level ya Certificate au Diploma kutoka vyuo vinavyotambuliwa Tanzania (i.e VETA, DIT, etc).
-Awe na uzoefu kwenye kazi hizi usiopungua miaka miwili.
-Awe na uwezo wa kutekeleza majukumu anayopangiwa bila kusimamiwa.
Mshahara Mzuri utatolewa kwa atakayefanikiwa kuajiriwa.
Tuma maombi (Attach CV pekee) kwa kutumia email: info@ajira.org
Au lete maombi yako moja kwa moja ofisi za COSEKE Benjamin William Mkapa Towers 6th Floor.
Maombi yatumwe kwa Country Manager.
Mwisho wa kupokea maombi ni Tarehe 14 June 2013.
Website: www.coseke.com
Facebook: www.facebook.com/coseke
COSEKE is an equal opportunity employer.
Only shortlisted candidates will be contacted.
Vigezo:
-Awe na umri usiozidi miaka 30.
-Awe amehitimu mafunzo ya Electronics/Full technician Certificate/Hardware Repair and Maintenance katika level ya Certificate au Diploma kutoka vyuo vinavyotambuliwa Tanzania (i.e VETA, DIT, etc).
-Awe na uzoefu kwenye kazi hizi usiopungua miaka miwili.
-Awe na uwezo wa kutekeleza majukumu anayopangiwa bila kusimamiwa.
Mshahara Mzuri utatolewa kwa atakayefanikiwa kuajiriwa.
Tuma maombi (Attach CV pekee) kwa kutumia email: info@ajira.org
Au lete maombi yako moja kwa moja ofisi za COSEKE Benjamin William Mkapa Towers 6th Floor.
Maombi yatumwe kwa Country Manager.
Mwisho wa kupokea maombi ni Tarehe 14 June 2013.
Website: www.coseke.com
Facebook: www.facebook.com/coseke
COSEKE is an equal opportunity employer.
Only shortlisted candidates will be contacted.