Legend joba
Member
- Aug 25, 2022
- 29
- 39
Kwa ambao wameshatumia e sim (embedded sim) what is the new experince. Ni hatua zipi za kufuata kuregister e sim kwa Tanzania
Una iPhone hafu una laini mbili. Nunua iTelHamna la ziada.. hamna jipya.. neno la kizungu e sim lisikutishe.
Tunatumia e sim sababu tunanunua simu za laini 1 while tunamiliki laini 2/3
Nenda mtandao wa simu husika wanakuwekea…
Na inaitwa Embedded sim..
Hawakuwa wazembe kuwa uwezekano wa E sim 😄😄Una iPhone hafu una laini mbili. Nunua iTel