Electronic campaign na No man's Land votes tallying.

Papa1

JF-Expert Member
Apr 21, 2012
2,017
2,208
CHADEMA - Ni wazi pasipo kuacha shaka lolote kuwa media za hapa nchini hazitawapa ushirikiano wowote katika kampeni zenu. Hakuna Cha TV, redio Wala gazeti lolote litakalotangaza chochote kuhusu mgombea wenu Tundu Antipas Lisu. Nchi hi Ni kubwa sana kiasi kwamba siku 60 kufika kila mahala itakuwa ngumu. Kuna uwezekano mkubwa watu wengi kukosa fursa ya kuona na kusikia hoja za mgombea wa urais pamoja na sera za ilani ya chama chenu.

Nawashauri mfyatue copy nyingi sana za mikutano ya mgobea katika flash au memory cards na kuzigawa au kuuza kwa being ya hasara ili zizipe mapengo ambayo yataachwa na mgombea kutokufika pembezoni au tuseme ambako hatafika. Lakini pia kuacha rejea ya hoja ambazo najua baada ya yeye kuondoka watakuja wapotoshaji wa kuharibu ujumbe ulioachwa. Fanya hivi kwa audio na video. Sikuhizi Kuna visimu na viredio vya kichina vinaweza kusoma cards naflash.

Kuelekea kuhesabu kura tengeneza vituo sehemu inaitwa No man's Land - sehemu za mpakani ambapo si Tanzania Wala nchi jirani. Weka kituo Cha kujumlishia kura kuepuka kuvamiwa na wasiojulikana wasiotaka mtu yeyote ajue hesabu ya kura za urais zinavyokwenda. Kusanya data zenu kwa utulivu.

Ohooooooo! Kumbe nawaza kwa sauti!! Halafu eti naandika! Jamani?
 
Wazo Bora kabisa

Tatizo kurugenzi ya mawasiliano Chadema imelala sana.

Diamond anatoa wimbo ndani ya saa moja umesambaa Tanzania nzima halafu inakuwaje Lissu akwame kusimilizwa mikutano yake wakati unaweza kuwagawia wote wanauza miziki kwenye computer wakauza kama wanavyouza kwaya, mawaidha au wakapewa posho kidogo wakawa wanazipiga sauti za Lissu kwenye vibanda vyao.

Yaani atauza balaa pia tunaweza tumia whatup kusambaza video zake za kampeni zote audio na video. Tunaweza kuedit nyimbo za wasanii zinazovutia na kuweka picha na vipande vya video ndani yake.

Njia ni nyingi kwa technology jinsi ilivyo sasa.
 
Weka kituo Cha kujumlishia kura kuepuka kuvamiwa na wasiojulikana wasiotaka mtu yeyote ajue hesabu ya kura za urais zinavyokwenda. Kusanya data zenu kwa utulivu.
Wajipange pia na suala la kuzimwa kwa mtandao. Kuna maandalizi kqbabmbe ya kuzima mtandao siku ya uchaguzi mpk matokeo yatakapotangazwa (style ya Nkurunziza).
 
Lisikupe shida kama muda wa mageuzi umefika wala hakuna wa kuzuia mageuzi.

Rejea katika historia nani alikuwa katili kwa media za nchi yake kama clemenciue matternich wa Austria mwaka 1840s? mbona Europen uprising ilimuondoa?

Nani katili kama king Chiang kai shek wa china katika miaka ya chinese revolution, media hazikufurukuta chochote but muda ni kama ncha ya upanga ukiuchezea utavuna kidonda.

Nani kama Alexander kerensky wa Urusi na ubabe wake kwa media but muda ulipofika aliondoka.

Serikali ipi katili na ovu kama ya white gvt ya makaburu south africa chini ya apartheid policy?

Kwani ulikuwaje mwisho wake pale muda ulipofika?
 
Kuhusu kuzima mitandao hilo halina ubishi, laweza kufanyika. Jibu: zitafutwe simu za kutumia satelite walau wenye jukumu la tallying wasiwe ex-communicate. Kuna possibility ya kuwa na line za nchi jirani. Nawaza tu, utafikuri nami Ni ACT au CHADEMA au CUF , kumbe Wala!
 
Magufuli Mimi nampenda sana tatizo naona watu aliowapa kazi ya kumsaidia wamemchafua Sana, Sasa kwenye Jambo la kuonyesha kutopendelea wao wanapendelea Kama kwenye vyombo vya habari au mitandao, mfano Jana waziri mkuu anayetegemewa kuwa mfano anaonyeshwa kapita bila kupingwa wakati watu waliowengi Hilo Jambo hawalipendi Sasa hapo sikuharibiana jamani? Haya kabudi na sheria zote kichwani kweli niwakukubali kupita bila kupingwa? Sasa nani ataheshimu mamlaka yao Kama wanaogopa kupigiwa kura? Hebu waache kumharibia Raisi na mipango ya ujinga Kama hiyo.
 
Back
Top Bottom