Electrical technician

Electrical technician

Msaada jaman kwa wale wataalam kuna kitu nimeona hapo ngoja niulize ...hivi TRADE GREDE I, GRADE II NA GRADE III mwenye grade hipi ambaye yupo Juu kielemu ....hapa namaanisha kwenye maswala ya ufundi
Mwenye PhD. Yaani Doctorate
 
Msaada jaman kwa wale wataalam kuna kitu nimeona hapo ngoja niulize ...hivi TRADE GREDE I, GRADE II NA GRADE III mwenye grade hipi ambaye yupo Juu kielemu ....hapa namaanisha kwenye maswala ya ufundi
Grade 1 yuko juu,lakini siku hizi hawatumii grade tena bali wanatumia level.
Kwa hyo ukienda kusoma utaanza level 1 Kisha level 2 then level 3.
 
Back
Top Bottom