uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,999
- 8,388
Shukrani ziende kwa kocha wa Barcelona Kijana Xavi kwa kufukia kwa haraka pengo liliokuwepo
Barcelona na real madrid leo wanacheza mchezo wa nusu fainali copa del rey
Timu zimekutana mara 252
Barcelona ushindi mechi 100
Real madrid ushindi mechi 101
Sare mechi 51
Xavi amemfunga real madrid mara nne mfululizo na kuna uwezekano leo akamchapa na kupeleka ushindi 101 kila timu
Todo lo mejor Barca
Barcelona na real madrid leo wanacheza mchezo wa nusu fainali copa del rey
Timu zimekutana mara 252
Barcelona ushindi mechi 100
Real madrid ushindi mechi 101
Sare mechi 51
Xavi amemfunga real madrid mara nne mfululizo na kuna uwezekano leo akamchapa na kupeleka ushindi 101 kila timu
Todo lo mejor Barca