E EveJoe Member Joined Dec 2, 2022 Posts 26 Reaction score 53 Mar 21, 2023 #1 Nashukuru kwamba mimi ni shabiki wa Barca na wamenikosha sana roho. Wasi wasi unaanza pale ninapo waza hasira ya madrid. Watakuwa na uchu sana wa kulipiza sasa sijui kama hiyo mechi iliyobakia kama tutatoboa kibabe tena. Nyie mnaonaje?
Nashukuru kwamba mimi ni shabiki wa Barca na wamenikosha sana roho. Wasi wasi unaanza pale ninapo waza hasira ya madrid. Watakuwa na uchu sana wa kulipiza sasa sijui kama hiyo mechi iliyobakia kama tutatoboa kibabe tena. Nyie mnaonaje?
MAWEED JF-Expert Member Joined Oct 11, 2016 Posts 3,981 Reaction score 13,701 Mar 21, 2023 #2 Duniani timu nyingi zinaiogopa madrid ila madrid wanaiogopa barcelona na amini kwamba madrid atapigwa tena.
Duniani timu nyingi zinaiogopa madrid ila madrid wanaiogopa barcelona na amini kwamba madrid atapigwa tena.
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,075 Reaction score 111,672 Mar 21, 2023 #3 Madrid ni katimu kadogo sana inapokutana na barcelona, mechi 4 mfululizo ndani ya mwaka madrid amekalishwa zote.
Madrid ni katimu kadogo sana inapokutana na barcelona, mechi 4 mfululizo ndani ya mwaka madrid amekalishwa zote.
K kina kirefu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2018 Posts 17,654 Reaction score 21,866 Mar 21, 2023 #4 Madrid sikashapigwa juzi na barca kunamechi ingine tena
hydroxo JF-Expert Member Joined Oct 19, 2015 Posts 5,478 Reaction score 12,037 Mar 21, 2023 #5 kina kirefu said: Madrid sikashapigwa juzi na barca kunamechi ingine tena Click to expand... Copa del rey. Second leg 5/4.
kina kirefu said: Madrid sikashapigwa juzi na barca kunamechi ingine tena Click to expand... Copa del rey. Second leg 5/4.
Southern Highland JF-Expert Member Joined Mar 22, 2017 Posts 15,927 Reaction score 27,167 Mar 21, 2023 #6 Hiyo mechi tunakuja kulipa kisasi. Subirini
K kina kirefu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2018 Posts 17,654 Reaction score 21,866 Mar 21, 2023 #7 Southern Highland said: Hiyo mechi tunakuja kulipa kisasi. Subirini Click to expand... Sahau Barca imesharudi ilikokua
Southern Highland said: Hiyo mechi tunakuja kulipa kisasi. Subirini Click to expand... Sahau Barca imesharudi ilikokua
A d o l f Member Joined Oct 16, 2018 Posts 47 Reaction score 188 Mar 22, 2023 #8 EveJoe said: Nashukuru kwamba mimi ni shabiki wa Barca na wamenikosha sana roho. Wasi wasi unaanza pale ninapo waza hasira ya madrid. Watakuwa na uchu sana wa kulipiza sasa sijui kama hiyo mechi iliyobakia kama tutatoboa kibabe tena. Nyie mnaonaje? Click to expand... Barca mkikaa vizuri, mnaweza beba Laliga
EveJoe said: Nashukuru kwamba mimi ni shabiki wa Barca na wamenikosha sana roho. Wasi wasi unaanza pale ninapo waza hasira ya madrid. Watakuwa na uchu sana wa kulipiza sasa sijui kama hiyo mechi iliyobakia kama tutatoboa kibabe tena. Nyie mnaonaje? Click to expand... Barca mkikaa vizuri, mnaweza beba Laliga